Nimemsikia Chiku Abwao bungeni leo jioni akisema kwa niaba ya cdm anajua bajeti ya 2012/13 itapita kwa kishindo kwani Cdm hawana uwezo wa kuizuia kwahiyo Wao nao wanatmiza wajibu tu....
Matusi gani? Mie nimekuwepo kafafanua swala la BAJETI YA 2012/2013, KAFAFANUA KERO MBALIMBALI ZA MUDA MREFU NA KUZITATUA KWANI ALIKUWA NA MKUU WA MKOA NA WILAYA PALE, UGUMU WA MAISHA, AJIRA NA SWALA LA KATIBA MPYA. KWAKO WEWE HAYA NI MATUSI????????????????????????
Pamoja na kuhaha usiku kucha jana, kumleta Zitto, Msigwa na wale Oil chafu( kina millya), ili kuhujumu mkutano wa dogo Nape Iringa Mjini Chadema wameishia kuabika kwa ajabu sana!! Baada ya kupima na kuona kuwa hawatafanikiwa kushawishi watu wasihudhurie mkutano huo wa CCM Cdm waliamua kuwasihi...
Aibu jamani,
YAANI CHADEMA MMEKOSA WATU KIASI HIKI MPAKA MNACHAKACHUA PICHA ZA MKUTANO HUU?!!! nilikuwepo hizi picha mme adobeshop
QUOTE=kamandamakini;4066288]
Mh. msigwa
Mh. zitto.
magamba yavuliwa watu wamiminika toka chama chamapinduzi kuhamia chama cha demokrasia na...
Katika hali ya kuonyesha kuchanganyikiwa na kasi ya Nape kufuta nyayo za cdm mikoani, cdm wakiongozwa na makamanda wao kadhaa wamehaha usiku kucha kuamkia leo kujaribu kuzuia mkutano wa CCM mjini Iringa utakaohutubiwa na Nape Nnauye.
Purukushani ilianza kwa kumbeba Zito na baadhi ya vijana wa...
Napata tabu sana kuamini kuwa Chadema wameshindwa kabisa kuhujumu mikutano ya Nape mpaka watumie mbinu iliyopitwa wakati kiasi hichi!!!!!!!!!???? Haya maajabu ya mwaka!! Nanaambuwa baada ya juhudi kubwa za kuzuia watu wasijitokeze kushindwa sasa wanawasihi watu waende mkutanoni kwa style hiyo...
Niliwaulimuuliza mmoja wa waalimu kama wameshinikizwa kuhudhuria mazungumzo hayo, akaanza kwa kunishangaa...." hivi mtu mzima anaweza lazimishwa kuja hapa?!! Sisi watu wazima TUMEOMBA WENYEWE KUKUTANA NA MWENYE SERIKALI AMBAYE NI CHAMA TAWALA, TUMWELEZE YANAYOTUKERA... hakuna aliyelazimishwa"
Nashauri si busara kabisa kubeza hizi juhudi za magamba za kurudisha imani ya watu mbalimbali nchini kwao. Leo Mafinga Nape amekutana na waalimu zaidi ya 360 na amekuwa na amzungumzo nao kwa muda mrefu sanaaa! Juhudi hizi zitaturudisha nyuma sana kwenye ukombozi wa nchi tuwe macho na huyu.dogo!
Nape ni Katibu Mwenezi na Itikadi ya Chama Cha Mapinduzi, NDO MWENYE ILANI INAYOTEKELEZWA KWA SASA NA SERIKALI,NI MOJA YA WAJIBU WAKE KUSIMAMIA UTEKELEZAJI WA HIYO ILANI.
Msisahau hapahapa jamvini tumemsema sana juu ya ahadi za JK na serikali, akipita kuhimiza itekelezaji wake shida ni...
CHANDIMU MNA ROHO NGUMU SANA!! Yaani mkutano uliorushwa LiVE tena na TV mbili, moja yenu nyengine yao CCM bado mnalazimisha watu waamini picha zimechakachuliwa????!!! Aaaah! sasa mmezidi uongo jamani mwisho hamtaaminika kwa lolote. Kifupi nilikuwepo uwanjani wakati picha ya mawaziri wanaongea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.