Nimemsikia Nape kwenye taarifa ya habari ya ITV akitoa maagizo kwa mkuu wa Iranga kushughulikia mala moja matatizo ya wafanya biashara wadogo wa mbao wa wilaya ya Mufindi baada ya wafanya biashara kumueleza matatizo wanayo yapata katika biashara yao ya mbao.
Sasa nimeshindwa kumuelewa anapompa maangizo mkuu wa mkoa kushughulikia matatizo hayo mala moja wakati mimi ninavyo fahamu ni katibu muenezi au mtoa habari wa chama
Sasa nimeshindwa kumuelewa anapompa maangizo mkuu wa mkoa kushughulikia matatizo hayo mala moja wakati mimi ninavyo fahamu ni katibu muenezi au mtoa habari wa chama