CHADEMA wahaha usiku kucha kuhujumu mkutano wa Nape Iringa

Gizakuu

Member
Apr 29, 2012
38
13
Katika hali ya kuonyesha kuchanganyikiwa na kasi ya Nape kufuta nyayo za cdm mikoani, cdm wakiongozwa na makamanda wao kadhaa wamehaha usiku kucha kuamkia leo kujaribu kuzuia mkutano wa CCM mjini Iringa utakaohutubiwa na Nape Nnauye.

Purukushani ilianza kwa kumbeba Zito na baadhi ya vijana wa cdm kina Millya na kufanya mkutano mjini Iringa ambao mkutano mzima uliishia kwa kumshambulia Nape na kuwataka watu wasihudhurie mkutano wa Nape leo.

Tuone leo mwitikio wa wana Iringa kwenye wito wa Nape au Msigwa
 
Nape ni kama Vitz na hao unaosema wanahaha kuuzima mkutano wa CCM ni kama RANGE LOVER. Sasa iwaje Range iionee wivu Vitz kuwa eti inakimbia sana?

Walioanzisha M4C ni CDM Nape kaiga tu, sasa inakuwaje kinyago ulichokichonga mwenyewe kikutishe?

Kama Nape anaitisha CDM ni sawa na Burundi kuitisha TZ kivita!!!!!
 
wewe usiku wakati wana haha wewe ulikuwa wapi? hivi kwa nyomi ya jana chadema ni chama cha kuhaha na mkutano wa huyo mzee wa kujichubua..yaani kwasasa hivi nape hata mkutano ukiitishwa na diwani kupitia chadema na nape akawa na mkutano wakati huo huo nakuhakikishia diwani atafunia...
 
Sema Nape anahaha usiku kucha kuzima moto wa CHADEMA!! Posho za Lumumba naona zimeamia mikoani sijui kina Rejao, Ritz&co wataishije hapo town!!
 
Conclusvely, this thread is only for justifying napes's allowances. ccm to rally at the time of delivering won't rescue rather propels hatred among wananchi who we're fed up of new white promises at the mid of unaccomplished general election promises worth 63 Trillion!
 
Katika hali ya kuonyesha kuchanganyikiwa na kasi ya Nape kufuta nyayo za cdm mikoani, cdm wakiongozwa na makamanda wao kadhaa wamehaha usiku kucha kuamkia leo kujaribu kuzuia mkutano wa CCM mjini Iringa utakaohutubiwa na Nape Nnauye.

Purukushani ilianza kwa kumbeba Zito na baadhi ya vijana wa cdm kina Millya na kufanya mkutano mjini Iringa ambao mkutano mzima uliishia kwa kumshambulia Nape na kuwataka watu wasihudhurie mkutano wa Nape leo.

Tuone leo mwitikio wa wana Iringa kwenye wito wa Nape au Msigwa
Kijana wacha kupiga mayowe. M4C ni mwendo mdundu, kasi yake hamuiwezi!
 
Hii ndiyo hali halisi ya CHADEMA Iringa.

IMG_3491.jpg
IMG_3500.JPG
IMG_3504.JPG

Halafu eti bado kuwe kuna sababu ya kuhujumu mkutano wa Vuvuzela??!!! Unachekesha wewe.
 
Katika hali ya kuonyesha kuchanganyikiwa na kasi ya Nape kufuta nyayo za cdm mikoani, cdm wakiongozwa na makamanda wao kadhaa wamehaha usiku kucha kuamkia leo kujaribu kuzuia mkutano wa CCM mjini Iringa utakaohutubiwa na Nape Nnauye.

Purukushani ilianza kwa kumbeba Zito na baadhi ya vijana wa cdm kina Millya na kufanya mkutano mjini Iringa ambao mkutano mzima uliishia kwa kumshambulia Nape na kuwataka watu wasihudhurie mkutano wa Nape leo.

Tuone leo mwitikio wa wana Iringa kwenye wito wa Nape au Msigwa

Hakika ni giza kuu.
M4c kama njaa.
 
Katika hali ya kuonyesha kuchanganyikiwa na kasi ya Nape kufuta nyayo za cdm mikoani, cdm wakiongozwa na makamanda wao kadhaa wamehaha usiku kucha kuamkia leo kujaribu kuzuia mkutano wa CCM mjini Iringa utakaohutubiwa na Nape Nnauye.

Purukushani ilianza kwa kumbeba Zito na baadhi ya vijana wa cdm kina Millya na kufanya mkutano mjini Iringa ambao mkutano mzima uliishia kwa kumshambulia Nape na kuwataka watu wasihudhurie mkutano wa Nape leo.

Tuone leo mwitikio wa wana Iringa kwenye wito wa Nape au Msigwa

We nini? Kabla hujaandika hebu ona hapa https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...akiwa-jimboni-kwa-msigwa-leo.html#post4066288

Nimeamini maneno huumba. ID name 'Giza kuu" yako inafanana na akili yako ilipo
 
Jamani mwenzetu ni Giza kuu, alikuwa haoni wakati M4C inafanya mambo yake. Kwa kuwa haoni usiku hakulala akisikia mipanya na mipaka ikifukuzana akadhani ni chadema wanahaha. Msameheni bure ni giza kuu.
 
Wana nini CDM kuzuia Nape asihutubie wananchi? CDM hawana polisi ,CDM hawana Usalama wa taifa, Hivi Nilini watanzania mtaacha Uzushi na uongo? Nape si lolote CDM na CDM haiwezi kuacha majukumu yake ya msingi ya kuleta ukombozi eti ikaanza kupambana na Nape!
 
Mkuu tafadhali tuwekee picha za mkutano wa Nape ili tujue nani alikuwa anahujumu mkutano wa mwenzake, maana CCM hawaishi kutapatapa people.............z. P
 
Katika hali ya kuonyesha kuchanganyikiwa na kasi ya Nape kufuta nyayo za cdm mikoani, cdm wakiongozwa na makamanda wao kadhaa wamehaha usiku kucha kuamkia leo kujaribu kuzuia mkutano wa CCM mjini Iringa utakaohutubiwa na Nape Nnauye.

Purukushani ilianza kwa kumbeba Zito na baadhi ya vijana wa cdm kina Millya na kufanya mkutano mjini Iringa ambao mkutano mzima uliishia kwa kumshambulia Nape na kuwataka watu wasihudhurie mkutano wa Nape leo.

Tuone leo mwitikio wa wana Iringa kwenye wito wa Nape au Msigwa

Ndo kazi mliyobaki nayo magamba, huyu jamaa kwa uwaongo sijapata kuona, katika mkutano wa zito jana hakuongelea habari ya wananchi kuacha kwenda kumsikiliza nape.Isipokuwa alisema kadi walizorudisha magamaba baada ya kujivua gamba watampelekea nape, sasa inakuwaje tena huyo jamaa anaropoka kama kanywa ngongo ya kinyesi
 
Katika hali ya kuonyesha kuchanganyikiwa na kasi ya Nape kufuta nyayo za cdm mikoani, cdm wakiongozwa na makamanda wao kadhaa wamehaha usiku kucha kuamkia leo kujaribu kuzuia mkutano wa CCM mjini Iringa utakaohutubiwa na Nape Nnauye.

Purukushani ilianza kwa kumbeba Zito na baadhi ya vijana wa cdm kina Millya na kufanya mkutano mjini Iringa ambao mkutano mzima uliishia kwa kumshambulia Nape na kuwataka watu wasihudhurie mkutano wa Nape leo.

Tuone leo mwitikio wa wana Iringa kwenye wito wa Nape au Msigwa

source: Gizakuu
 
Last edited by a moderator:
Katika hali ya kuonyesha kuchanganyikiwa na kasi ya Nape kufuta nyayo za cdm mikoani, cdm wakiongozwa na makamanda wao kadhaa wamehaha usiku kucha kuamkia leo kujaribu kuzuia mkutano wa CCM mjini Iringa utakaohutubiwa na Nape Nnauye.

Purukushani ilianza kwa kumbeba Zito na baadhi ya vijana wa cdm kina Millya na kufanya mkutano mjini Iringa ambao mkutano mzima uliishia kwa kumshambulia Nape na kuwataka watu wasihudhurie mkutano wa Nape leo.

Tuone leo mwitikio wa wana Iringa kwenye wito wa Nape au Msigwa

Kama kawaida vijana wa Nape hakuna cha maana wanachoandika humu jukwaani ni pumba tu a.k.a.magamba @work
 
Katika hali ya kuonyesha kuchanganyikiwa na kasi ya Nape kufuta nyayo za cdm mikoani, cdm wakiongozwa na makamanda wao kadhaa wamehaha usiku kucha kuamkia leo kujaribu kuzuia mkutano wa CCM mjini Iringa utakaohutubiwa na Nape Nnauye.

Purukushani ilianza kwa kumbeba Zito na baadhi ya vijana wa cdm kina Millya na kufanya mkutano mjini Iringa ambao mkutano mzima uliishia kwa kumshambulia Nape na kuwataka watu wasihudhurie mkutano wa Nape leo.

Tuone leo mwitikio wa wana Iringa kwenye wito wa Nape au Msigwa

Mnyalukolo wilonga nyoni sana!
Vayago visika ukombozi veve wileta uudala kangi!
 
Katika hali ya kuonyesha kuchanganyikiwa na kasi ya Nape kufuta nyayo za cdm mikoani, cdm wakiongozwa na makamanda wao kadhaa wamehaha usiku kucha kuamkia leo kujaribu kuzuia mkutano wa CCM mjini Iringa utakaohutubiwa na Nape Nnauye.

Purukushani ilianza kwa kumbeba Zito na baadhi ya vijana wa cdm kina Millya na kufanya mkutano mjini Iringa ambao mkutano mzima uliishia kwa kumshambulia Nape na kuwataka watu wasihudhurie mkutano wa Nape leo.

Tuone leo mwitikio wa wana Iringa kwenye wito wa Nape au Msigwa
Ukweli ni kwamba ccm injitahidi kufuta nyayo za mageuzi nchini lakini si wanamaeuzi kufuta nyayo za ccm, ila sishangai kwa wewe kuwa na mtazamo huo maana umo gizani kama ujiitavyo Gizakuu
 
Gizakuu: hili jina lako linaendana kabisa na mawazo yako, bado umejawa na giza mawazoni mwako. CCM ndiyo wamezoea kuhaha CDM wanapotoa miguu nanyie(CCM) mnakanyaga hapohapo kana kwamba hamjui njia.
 
Nape yupi, huyu anayechanganyikiwa kila kukicha?!

Huyu anayesahau kuwa yeye si kiongozi wa serikali na hana mamlaka ya kutoa maagizo ya shughuli za serikali? Nape chama kimemshinda na sasa hajui jukumu lake. Anaingilia kazi za mawaziri na wakuu wa mikoa na wilaya kwa kutoa maagizo ambayo hamna atakayeyafuata kwa kuwa yametoka kwa Mr. No-one.

Hivi lile agizo la kuanza kutumia majengo ya Hospitali ya Mkoa wa Singida, kama mganga mkuu akilitimiza, waziri wa Afya akimuuliza alipata ruhusa ya kufanya hivyo toka wapi, anaweza kweli kujibu KWA NAPE!

Nape chama kimemshinda sasa HAJITAMBUI, HOI
 
  • Thanks
Reactions: ral
Back
Top Bottom