Katika hali ya kuonyesha kuchanganyikiwa na kasi ya Nape kufuta nyayo za cdm mikoani, cdm wakiongozwa na makamanda wao kadhaa wamehaha usiku kucha kuamkia leo kujaribu kuzuia mkutano wa CCM mjini Iringa utakaohutubiwa na Nape Nnauye.
Purukushani ilianza kwa kumbeba Zito na baadhi ya vijana wa cdm kina Millya na kufanya mkutano mjini Iringa ambao mkutano mzima uliishia kwa kumshambulia Nape na kuwataka watu wasihudhurie mkutano wa Nape leo.
Tuone leo mwitikio wa wana Iringa kwenye wito wa Nape au Msigwa
Purukushani ilianza kwa kumbeba Zito na baadhi ya vijana wa cdm kina Millya na kufanya mkutano mjini Iringa ambao mkutano mzima uliishia kwa kumshambulia Nape na kuwataka watu wasihudhurie mkutano wa Nape leo.
Tuone leo mwitikio wa wana Iringa kwenye wito wa Nape au Msigwa