Nashauri si busara kabisa kubeza hizi juhudi za magamba za kurudisha imani ya watu mbalimbali nchini kwao. Leo Mafinga Nape amekutana na waalimu zaidi ya 360 na amekuwa na amzungumzo nao kwa muda mrefu sanaaa! Juhudi hizi zitaturudisha nyuma sana kwenye ukombozi wa nchi tuwe macho na huyu.dogo!