kwa hiyo tufanyeje hapo?
Yule jamaa aliyekupa safari ya USA mwaka Jana ni dhaifuWalitaka ipite bajeti kiza? yenye mapato "0"?
Pnada juu nenda ukazibe.
Yule jamaa aliyekupa safari ya USA mwaka Jana ni dhaifu
Yule jamaa aliyekupa safari ya USA mwaka Jana ni dhaifu
Nimemsikia Chiku Abwao bungeni leo jioni akisema kwa niaba ya cdm anajua bajeti ya 2012/13 itapita kwa kishindo kwani Cdm hawana uwezo wa kuizuia kwahiyo Wao nao wanatmiza wajibu tu....
Pnada juu nenda ukazibe.
Juu si ndio kwa mr Dhaifu
Nenda kazibe kama unaweza!
Tuonesheni ambae si dhaifu yupi wa kabla yake aliyefanya la maendeleo zaidi ya huyu mnaesema ni dhaifu.
Nakuhakikishia hamuwezi, roho zinawauma kwa kuwa tu, pale mliposhindwa nyinyi kwa miaka 24 mfululizo, yeye anapafanya kiurahiiiiisi kabisa.
Nyinyi kafanyeni maandamano kwenye barabara za lami alizo/anazo jenga Kikwete. - Magufuli, Jangwani.