Yaani jamaa anakuja na hoja nyepesi hivi, kupinga uwepo wa Mungu? Mm nikadhani utaweka huo uliodai ni utafiti wa kushiba kutetea hoja yako. Lakni ni bla bla tu!
Hawa jamaa wanasababisha hata kuwafundisha watoto wetu iwe ngumu kweli. Nawengine waking vituko hivi hawaelewi kati ya yale yanayofundishwa darasani na yanayofanywa na viongozi wa nchi hii. Hili swali la UHURU likiiulizwa kwenye mitihani ya CIVICS huwa wanakosa. Maana vitabu vinasema mengine na...
Hata kama amefanya makubwa kiasi gani, bado watanzania wanayofursa ama ya kumchagua au kutomchagua. Maana ni yako yao kufanya hivyo.
Kwa maoni yangu, kama tume ingekuwa huru, kura zinahesabiwa kwa haki, hakuna nguvu ya police-ccm, DED-CCM, mtendaji kata/vijiji-ccm, DAS/RAS-CCM na taasisi...
Tangu mgonjwa huu utangazwe, hii ndiyo thread ya hovyo kabisa kuzungumzia suala la CORONA. Imagine karibia nusu ya wakazi wa Dar wakaamua kurudi mikoani, yaani ndo utaelewa ule msemo wa: AMERUKA MKOJO AKAKANYAGA MAVI
Sent using Jamii Forums mobile app
Kahawa ni hivo hvo kwa mikoa inayolima zao hilo. Mimi sijui kwa nini wakulima hawapewi uhuru wa kuuza mazao yao kwenye soko HURIA
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi waoo (Lumumba People) wanajitoa ufahamu tu siyo kwamba hawajui hali halisi. Mm binafsi nilikuwa na mtumbwi mmoja kwa ajiri ya uvuvi wa dagaa. Nilikuwa nimeajiri watu 5 katika mtumbwi huo, lakini bila huruma: mtumbwi, machine, nyavu za kuvulia (mitego) na makalabai, vyote vilitaifishwa...
Hivi unajiandikishaje Kwenye daftari ambalo hakuna kithibitisho kinachoonesha kuwa umejiandikisha. ie KITABULISHO. Na baada ya kuona Mwamko ni mdogo....
Watu wa CHAMA CHA MBOGAMBOGA wanajiandikisha Mara mia kidogo... Kwa maana Kwa mjibu wa maelekezo ya Ikulu kwa watendaji wa Kata hawaruhusiwi...
Mpaka Sasa Matokeo ya uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa/vijiji yako mifukoni mwa watendaji wa JIWE kulingana na maelekezo aliyowapa pale Usiku. Sasa Kwa nini watu wajiandikishe kwenda kuchagua Wakati viongozi wanafahamika. Ukiona umepewa option Mbili uchague mojawapo lakini Kwa nyuma...
Kwa nini nijiandikishe, Wakati watendaji WA Kata walishapewa maelekezo ya Aina ya viongozi wanatakiwa kuwatangaza. Kwa maana hiyo tayari majina ya viongozi Wanayo mfukoni. Kwahiyo Hata ukijipanga Kwenye mstari kwenda kumchagua kiongozi ambaye si Chaguo la JIWE .... Unapoteza Muda wako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.