RockCarnegie
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 963
- 1,927
Habari wana JF
Nimeona taarifa zikimuonesha Mkuu wa Wilaya ya Magu akiwanyang'anya wafanyabiashara shehena za choroko walizonunua kutoka kwa wakulima kwa madai ya kutotumia vyama vya ushirika kununua zao hilo.
Swali la kujiuliza, kwa nini serikali ya Rais Magufuli haitaki kujifunza kuwa Ushirika umeshindwa kufanya biashara na badala yake limekuwa genge la kudhulumu wananchi mali zao. Mfano ni mazao ya korosho na pamba ambayo mpaka sasa wakulima hawajalipwa malipo yao ya msimu uliopita.
Serikali ya CCM itambue kuwa kutaifisha/kunyang'anya mali za watu ni rahisi mno kuliko kufanya biashara yenyewe.
Toka kuwa Serikali ya wanyonge hadi kuwa genge la wanyang'anyi, CCM ni chama mufilisi hakiwezi kamwe kutupa uongozi wa kuendeleza taifa na watu wake.
Nimeona taarifa zikimuonesha Mkuu wa Wilaya ya Magu akiwanyang'anya wafanyabiashara shehena za choroko walizonunua kutoka kwa wakulima kwa madai ya kutotumia vyama vya ushirika kununua zao hilo.
Swali la kujiuliza, kwa nini serikali ya Rais Magufuli haitaki kujifunza kuwa Ushirika umeshindwa kufanya biashara na badala yake limekuwa genge la kudhulumu wananchi mali zao. Mfano ni mazao ya korosho na pamba ambayo mpaka sasa wakulima hawajalipwa malipo yao ya msimu uliopita.
Serikali ya CCM itambue kuwa kutaifisha/kunyang'anya mali za watu ni rahisi mno kuliko kufanya biashara yenyewe.
Toka kuwa Serikali ya wanyonge hadi kuwa genge la wanyang'anyi, CCM ni chama mufilisi hakiwezi kamwe kutupa uongozi wa kuendeleza taifa na watu wake.