Recent content by giningi

  1. giningi

    Kila mwanamke ana dream ya kuwa na bwana wa Kisukuma

    hapo kwenye mstari,yani hawa watu ni wakatili sijawahi kuona,tena ni wababe,wabinafsi na madikteta,ila ukimuona ongea yake na upole kwa nje ukiambiwa tabia zake huwezi amini
  2. giningi

    Kila mwanamke ana dream ya kuwa na bwana wa Kisukuma

    usiwadanganye wenzio wakaachana na wachumba zao wakapotea,hili kabila sio kabisa,kama ulibahatika kumpata huyo wa kwako shukuru Mungu,usi- generalize,othewise utuambie ulifanya utafiti lini na wapi.:Cry:
  3. giningi

    Kila mwanamke ana dream ya kuwa na bwana wa Kisukuma

    hata aliezaliwa dar na hajawahi kufika mwanza na shy tabia ni hizo hizo,pia wana ushamba wa vitu vya kijinga jinga kama simu, anabeba kila aina ya simu kuanzia samsung,nokia na the so like na akifika sasa baa,lazima azitoe zionekane, daaah hili kabila majangaaaaaaaaaaa, laptop tatu na...
  4. giningi

    Kila mwanamke ana dream ya kuwa na bwana wa Kisukuma

    umesema kweli tupu,hawa watu hawafai wanawake wenzangu mnajidanganya.
  5. giningi

    Kama mbinguni wanaenda wenye ndoa,basi sitaenda

    mkuu natamani huyo mwingine ningemjua nimkabidhi mji kabisa,hilo kwangu si ishu kubwa ila nataka na yeye aje aonje joto la jiwe najua Mungu atakuja kumuadhibu vibaya, WHAT GOES AROUND COMES AROUND
  6. giningi

    Kama mbinguni wanaenda wenye ndoa,basi sitaenda

    wanangu ndio kila kitu huku duniani,nitawaacha siku nimekufa!
  7. giningi

    Kama mbinguni wanaenda wenye ndoa,basi sitaenda

    nyumba si kitu,uhai wangu ndio wa maana sana na amani pia,niko radhi kuviacha my dia,hali ni mbaya kuliko mnavodhani,nilishafikiia kujitenga chumba but nikaona watoto wangeniuliza maswali ambao majibu ningekosa,acheni jamani
  8. giningi

    Kama mbinguni wanaenda wenye ndoa,basi sitaenda

    ''mzigo wa mwenzio ni kanda la usufi",ni kuwa nimechoka ndugu yangu, na huu muongozo wa kuondoka,naamini umetoka kwa Mungu!
  9. giningi

    Kama mbinguni wanaenda wenye ndoa,basi sitaenda

    asante sana! kirikou wa mwanza!
  10. giningi

    Kama mbinguni wanaenda wenye ndoa,basi sitaenda

    Mwenzenu nimeamua kuondoka kwangu,mume huyu wangu alinioa kihalali kanisani,leo nimenyoosha mikono najiandaa kuanza maisha peke yangu na wanangu,nimeshindwa,siko tayari kufa kwa ukimwi kwa kuwa sistahili,alinioa bikira na simjui mwanaume yeyote zaidi yake katika dunia hii...
  11. giningi

    kwa wanaume wenye nyumba ndogo tu

    ndo maana nikasema kwa wale wenye nyumba ndogo kama wewe huna kaa kimya:yo:
  12. giningi

    kwa wanaume wenye nyumba ndogo tu

    enyi wanaume wenye nyumba ndogo,nawashauri kuwa,mnapoamua kuzaa na hao nyumba ndogo zenu,jitahidini kwenda kupima DNA baada ya mtoto kuzaliwa la sivyo mnatunza watoto wa wenzenu! kama hamjui hizo nyumba ndogo zenu na zenyewe zinawaita nyumba ndogo kwa sababu zina nyumba kubwa,wengi wenu...
  13. giningi

    UDOM: Tulivyokula maisha kuukaribisha mwaka 2012, wenye wivu mtachonga sana

    leo ndo nathibitisha kuwa ni chuo cha kata!! hivi bumu wanapata sh ngapi vile:lol:
  14. giningi

    Inawezekana

    gooooooooooood!!!shetani kakosa mfuasi hivi hivi haleluaaaaaa!!dhambi zinafanika out of mwili lakini ole wake atendae dhambi a uzinizi kwa sababu atenda dhambi ndani a mwili wake!!baikiwa
Back
Top Bottom