hapo kwenye mstari,yani hawa watu ni wakatili sijawahi kuona,tena ni wababe,wabinafsi na madikteta,ila ukimuona ongea yake na upole kwa nje ukiambiwa tabia zake huwezi amini
usiwadanganye wenzio wakaachana na wachumba zao wakapotea,hili kabila sio kabisa,kama ulibahatika kumpata huyo wa kwako shukuru Mungu,usi- generalize,othewise utuambie ulifanya utafiti lini na wapi.:Cry:
hata aliezaliwa dar na hajawahi kufika mwanza na shy tabia ni hizo hizo,pia wana ushamba wa vitu vya kijinga jinga kama simu, anabeba kila aina ya simu kuanzia samsung,nokia na the so like na akifika sasa baa,lazima azitoe zionekane, daaah hili kabila majangaaaaaaaaaaa, laptop tatu na...
mkuu natamani huyo mwingine ningemjua nimkabidhi mji kabisa,hilo kwangu si ishu kubwa ila nataka na yeye aje aonje joto la jiwe najua Mungu atakuja kumuadhibu vibaya, WHAT GOES AROUND COMES AROUND
nyumba si kitu,uhai wangu ndio wa maana sana na amani pia,niko radhi kuviacha my dia,hali ni mbaya kuliko mnavodhani,nilishafikiia kujitenga chumba but nikaona watoto wangeniuliza maswali ambao majibu ningekosa,acheni jamani
Mwenzenu nimeamua kuondoka kwangu,mume huyu wangu alinioa kihalali kanisani,leo nimenyoosha mikono najiandaa kuanza maisha peke yangu na wanangu,nimeshindwa,siko tayari kufa kwa ukimwi kwa kuwa sistahili,alinioa bikira na simjui mwanaume yeyote zaidi yake katika dunia hii...
enyi wanaume wenye nyumba ndogo,nawashauri kuwa,mnapoamua kuzaa na hao nyumba ndogo zenu,jitahidini kwenda kupima DNA baada ya mtoto kuzaliwa la sivyo mnatunza watoto wa wenzenu! kama hamjui hizo nyumba ndogo zenu na zenyewe zinawaita nyumba ndogo kwa sababu zina nyumba kubwa,wengi wenu...
gooooooooooood!!!shetani kakosa mfuasi hivi hivi haleluaaaaaa!!dhambi zinafanika out of mwili lakini ole wake atendae dhambi a uzinizi kwa sababu atenda dhambi ndani a mwili wake!!baikiwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.