Recent content by Gilly

  1. G

    CCM/Magufuli na falsafa ya kuiga-iga.Duh wameiga na hii

    navy boi Hapo kwenye red mbona hueleweki Mkuu? Kumkomboa Mtanzania kutokana na utawala wa Chama cha kikoloni cha CCM kilichowatawala zaidi ya miaka 50? Au ni ukombozi upi tena?
  2. G

    Kampeni meneja wa UKAWA hana chama, huu ni usanii sana

    kawakama Mkuu si lazima uwe mkali. Fisi na mbwa mwitu wanakuwa marafiki pale wanapotafuta MABADILIKO!
  3. G

    Huyu ndiye Mwenyekiti wa CHADEMA aliyekuwa apinduliwe kwa kuwa too local

    Mkuu mvuma, hapo kwenye red, una maana Mbowe ni kiongozi wa kipekee kwa CCM? Ngoja wakusikie wenyewe!
  4. G

    Nimependa msimamo wa Dr Slaa

    Rweye WanaJF Wakuu, hivi waliozunguka nchi nzima na kutangaza kwamba EL, RA na Chenge ni mafisadi kwa hiyo wavue magamba la sivyo Chama chao kitawachukulia hatua walikuwa ni viongozi wa CDM? Mbona hawa CCM hawaeleweki? Magamba hawakuvua, na CCM waliwaacha tu kwa maana walikuwa wasafi wasio na...
  5. G

    Nimegundua madaktari wengi wanaoa wagonjwa wao!

    Mkuu, sasa wataoa nani ikiwa kila mwanamke ni "potential" mgonjwa?
  6. G

    "ualimu ni kupoteza muda"

    Mkuu, wanafunzi wa namna hii siyo "potential" kwa "participatory approach", aidha hawajui kusoma wala kuandika watazipataje nondo za kutumia kwenye "participation"?
  7. G

    Joyce Ndalichako Amechemka, Ajipange!!!

    Mkuu Shafiri, hivi watu hawaelewi kwamba Tanzania ikileta siasa kwenye mitihani basi itakuwa imejiua yenyewe? Thamani ya elimu yetu itakuwa imeshuka Kimataifa? Na hata wanasiasa wetu watakuwa wanyonge kimataifa? Watoto wanapojinyonga kwa kufeli mtihani ni kutokana na kulelewa vibaya n...
  8. G

    Wosia huu watanzania tulimuelewa Mwalimu JK alikuwa na maana gani?

    Mkuu Bobwe, Hakuna mtu anaabudu mfu. Lakini kama alichosema kina mantiki na hoja na hao walioko na uhai wao hakuna kitu wanachofanya. Kutakuwa na ubaya gani kunukuu mawazo ya aliyekufa?
  9. G

    Dr Joyce Ndalichako ateuliwa kuwa Rais wa umoja wa mabaraza ya mitihani Afrika

    Kufutilia mbali wizi wa mitihani. Wezi wa mitihani hawana hamu naye. Komesha yao! Ni kiboko yao! Bravo Ndalichako, taji ni hapa hapa duniani!
  10. G

    PICHA: Kiomboi-Iramba wajitokeza kutoa maoni, kumsikiliza Dkt. Slaa, polisi watumika...

    Kwenye mkutano wa watu wazima watakosa kuwepo watoto?
  11. G

    Mafisadi wafilisiwe, Serikali itumie risiti na traffic 'notifications' za elektroniki - Wabunge

    Mkuu Chakaza, si vyema kukubali kukubali ufisadi uendelee hata kama kuna uwezo wa kuupiga vita baadaye. Wacha upigwe vita mbele kwa mbele. Kamanda Zitto kwa mipango hiyo yuko sahihi. Iende tu ikakwame mbele. Lakini wabunge wa CCM watapitisha? Tatizo ndilo hilo. Mimi nachukia...
  12. G

    Jibu la mugabe kwa mwandishi wa uingereza..

    Mkuu, salaam. "opposite" ya "followers" ni "readers". Labda nikukumbushe. bifu la Mugabe na Waingereza ni kunyang'anywa ardhi wale masetla wa kizungu waliopora ardhi ya wazimbabwe kwa kutunmia sheria za kikoloni na kibaguzi. Mugabe aliwanyang'anya ardhi walioidhulumu kutoka kwa weusi kwa kutumia...
  13. G

    Miaka takribani 50 ya Uhuru Tanzania: Ni yapi ya kujivunia?

    Mkuu Lukolo, mi namkubali kwa kusema kwamba ni afadhali na mkoloni. Kwani alichotufanyia mkoloni siyo ndicho hicho hicho tunafanyiwa sasa na wakoloni wa sasa ambao wanajiita wawekezaji? Tofauti ya sasa na zamani ni kwamba zamani wale wakoloni walisimamia "uwekezaji" wao wenyewe kwa kututawala...
  14. G

    PINDA: Ukiwa mkaidi usilalamike pale kichapo kitakapokufikia

    Ni kweli mkuu. Lakini nijuavyo Polisi wa kwetu uswazi watahakikisha wamekupiga kwelikweli. Hata ukijisalimisha kama raia mwema ni bure. Orodha ya wakaidi ibandikwe hadharani au yule mtoto aliyetoka madrasa akapigwa risasi naye yupo kwenye orodha? Afu hakusema Polisi wawapige kwa kutumia ngumi...
  15. G

    Hali ni Tete, Mabomu Yameanza Kurushwa Tena Jijini Arusha

    Safi Mkuu, na kuwabambikizia raia wanaokataa kuibiwa kesi, mafuvu ya vichwa n.k.
Back
Top Bottom