Recent content by Gillette

  1. G

    Mada Maalum kwa Wahasibu, Wakaguzi wa Mahesabu na Wataalam wa Kodi

    Wakuu mi nataka kusoma Aci dealing certificate kutoka Aci financial markets association,kwa hapa bongo huduma hii nitaipata wapi?
  2. G

    Nina Degree ya Uchumi na Diploma ya Ualimu, natafuta kazi

    ACHA UONGO kama hujui mambo kaa kimya
  3. G

    Tundu Lissu: Richmond ni ya Rais Kikwete

    Umekunywa supu lakini?
  4. G

    Nina Degree ya Uchumi na Diploma ya Ualimu, natafuta kazi

    Kasema kasoma hgl advance level.
  5. G

    Kwa nini wanaosoma sayansi wanapewa upendeleo kwenye kuchagua kozi?

    Hivi aliyesoma pcm anaweza kusoma degree ya economics?
  6. G

    Natoa ushauri kwa wanafunzi kuhusu maisha na ujasiriamali

    Sehemu gani naweza kufanya mitihani ya GMAT hapa bongo?
  7. G

    Natafute mke wa kuoa

    Natafuta mke wa kumuoa umri miaka 22-24 awe mkiristo, ambae yuko tayari ani pm tuongee.
  8. G

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2015/16

    Wakuu, naombeni ushauri kati ya ba business economics inatolewa chuo kikuu cha ushirika moshi na ba economics ya udsm ipi nichague inayoendana na mazingira ya sasa ya soko la ajira na kujiajiri kwa ujumla.Asante
  9. G

    Nahitaji chuo genuine kinachotoa masters tanzania ,kenya na uganda mwaka mmoja

    United state international university nairobi compus.
Back
Top Bottom