Hapana hakuna Dalali ila hajapima vizuri kilometer maana bango la kuandikwa njia ya mkamba lipo site kwangu hapo tayari umeshatembea zile kilometer zote kutoka kibada, Mpaka uje ukutane na chuo cha kilimo cha mkorea. Nilichomsaidia awake km sawa ili Mteja wake ajue anaenda kununua sehemu yenye...
Sawa lakini ngoja apatikane Mteja akikuta kutoka kibada hadi mkamba 9km basi itakuwa Heri. Lakini atakayeenda aje aseme Ukweli kama hajakuta kilometer zaidi ya hizo hadi mkamba.
Shamba heka 22 naziuza zipo km 8 kutoka barabarani iendayo mtwara na km 100 kutoka mbagala , lipo Mkuranga kijiji cha miteza , Shamba halijawahi kulimwa. Maji yapo karibu. Lina hati ya kijiji, kila heka shilingi laki nane, Sina Dalali. Atakayependezewa namba zangu ni 0752363857.
Mkamba kutoka kibada ni km 11???? Kutoka site kwangu pale Mwasonga kwenda mkamba ndiyo km 11, na kutoka kibada hadi Mwasonga ni km 17. Kapime tena ili hata ukipata Mteja ajue Ukweli halisi. Kutoka ferry hadi Mwasonga ni km 30 hapo bado mkamba.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tunapata tabu wenzenu, kuongea taratibu mtu anachoka kukusikiliza, ukiongea haraka hamtaelewana, yaani tabu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.