Nyumba ya kisasa inauzwa Mbagala 80M.

Nyumba ya kisasa inauzwa Mbagala 80M.

Kuna tatizo hapa si ajabu itashuka bei lakini ukiona nyumba imepambwa sana na inauzwa kabla haijakaliwa jiulize maswali kabla!
Biashara feki ya kichina imehamia kwenye nyumba siku hizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna Mwanajeshi mmoja mstaafu aliuziwa nyumba pale Chamazi Magengeni upande wa Magenge kulia nyuma ya msikiti. Sasa aliponunua akamwita fundi amfanyie marekebisho upande wa Dinning na Sitting room. Fundi alipobomoa kiukuta cha Dinning cha mushangaza kuta za upande wote wa dinning mpaka vyumbani zikashuka zikawa vifusi vya mchanga tupu. Alichofanya ni kwenda kwa aliemuuzia tena kwa bastola na kumwambia amrudishie hela jaama ikabidi arudishe hela.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yesssss[emoji1690]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii nyumba imetangazwa na madalali wakubwa wote hapa mjini lakini haiuziki.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Jenga-uza watu wengi wameshakuwa na mashaka na ubora wake,kinachotakiwa wajitokeze wanaozijenga na kuthibitishia watu ubora wa hizo nyumba ili waweze kufanya biashara vizuri...
 
Aisee hiyo nyumba ni kubwa sana kulinganisha na bei. Mimi nimejenga nyumba yangu ndogo ila standard imekula milioni 60 two bedroom sebule na jiko. Tofali nilitumia nzito za 1,500 msingi hadi juu. Kuna siku nikaja gongolamboto yaani nyumba inanuka kitu kama ukoko tofali nyepesi ikiguswa na maji ni shida daily marekebisho. Mimi nyumba nikitaka nitanunua kiwanja nijenge mwenyewe.

Mkuu hiyo nyumba wewe jiuzie. Hatuingii cha kike.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna Mwanajeshi mmoja mstaafu aliuziwa nyumba pale Chamazi Magengeni upande wa Magenge kulia nyuma ya msikiti. Sasa aliponunua akamwita fundi amfanyie marekebisho upande wa Dinning na Sitting room. Fundi alipobomoa kiukuta cha Dinning cha mushangaza kuta za upande wote wa dinning mpaka vyumbani zikashuka zikawa vifusi vya mchanga tupu. Alichofanya ni kwenda kwa aliemuuzia tena kwa bastola na kumwambia amrudishie hela jaama ikabidi arudishe hela.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom