Aisee mimi nimeshavuka hyo level ya kupenda kufurahisha mwanamke, zamani utotoni ndio nlikua nateseka mwanamke akiniongelea maneno mabaya au labda kunikataa kwa dharau au kunionyesha bad attitude.
Siku hizi nimekua nunda balaa kwanza hela yangu sitoi kwa mwanamke asiyekua na adabu au asie na...
Ushamba na Utoto Unakusumbua.
Ukitaka kutoboa maisha learn to disappoint women often (women in exception of ur mom).
Mwanaume anasifiwa mipango na kutekeleza mipango yake, asa we kalia kufurahisha women hayanaga shukran hayo makeng€ 🤣🤣🤣
Case ndogo sana hyo. Kuwa nunda ila usiwakosee heshima. Mi wangu wali nyanyua mikono juu waisanda yanu. Salamu watapewa ila mambo yangu siwaambii wanakuja ambiwa tu jamaa kafanya 1,2,3 waongee wagombe mi nimekula barafu sina habari.
NB: Sio kila mipango yako ya kushirikisha wazazi. Fanya...
Blaza aache kusema ana hela, aseme anajimudu yeye maisha yake. Kuja kutambia watu Tsh 5 M, raba pair 6 na iphone 17 huo ji ushamba man 🤣🤣🤣
Zaidi inaonyesha dhiki aliyonayo na asili yake.
Yeye ange toa comment bana nlikua point A nimesogea point B namshukuru Mungu tunge mu appreciate na hata...
DDC mtaa wa muhonda, narung’ombe, congo, msimbazi demand ipo sana, frame zitalipa hela ya maana tu floor 4 kutoka underground, ground, first, second and third floor (pakikaa fresh) ni uhakika zitapata rent nzuri , huko juu ni ma store au office space tu.
Kwa mitaa ile demand sina mashaka nayo.
Blaza nishaona watu wakiingia kwenye majanga kama hayo hata kwa kuangalia kikubwa ni kupotezewa muda na fedha kutokana na migogoro iwe ya muuzaji mwenyewe au migogoro ya warithi.
Inshort wauzaji anza kuwapekua kuanzia ngazi ya majirani, mjumbe wa nyumba 10, M/Kiti Serikali Ya Mtaa, Mtendaji...
Sijapatwa na chochote wala sijai tapeliwa isipokua stay vigilant na ujue full details and verify cz nyumba nyingi za kununua za urithi zina migogoro sana hasa kutokana na ndugu (wauzaji) kuzungukana ama aliye acha urithi ukute kuna namna ana mapingamizi yake aliyo acha.
Inawezekana kununua ila...
Ina tegemea zipo za kununua na zimenyooka sana ila bei cheap kutokana na gharama za uenzi za zamani kuwa ndongo kulinganisha na sasa. Mfuko wako tu unanunua nyumba unaiongezea udambwi inakua kali zaidi.
Kama unataka nyumba ya idea zako mwenyewe jenga yako isimamie mwenyewe usitake utitiri wa...
Daaah umenitoa chozi
Hadi nimetetemeka.
Mungu akulinde mkuu, All shall be well. [emoji1488][emoji1488]🥹🥹
Kwa kweli tusijisahau sana wandugu. [emoji1488][emoji1488]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.