Recent content by Gien Banks

  1. Gien Banks

    JamiiForums Tanzania Sitokaa nitongoze mtoto wa mtu! Hili lililo Nikuta limenifunza kitu MJINI hapa

    Aisee mimi nimeshavuka hyo level ya kupenda kufurahisha mwanamke, zamani utotoni ndio nlikua nateseka mwanamke akiniongelea maneno mabaya au labda kunikataa kwa dharau au kunionyesha bad attitude. Siku hizi nimekua nunda balaa kwanza hela yangu sitoi kwa mwanamke asiyekua na adabu au asie na...
  2. Gien Banks

    JamiiForums Tanzania Sitokaa nitongoze mtoto wa mtu! Hili lililo Nikuta limenifunza kitu MJINI hapa

    Ushamba na Utoto Unakusumbua. Ukitaka kutoboa maisha learn to disappoint women often (women in exception of ur mom). Mwanaume anasifiwa mipango na kutekeleza mipango yake, asa we kalia kufurahisha women hayanaga shukran hayo makeng€ 🤣🤣🤣
  3. Gien Banks

    JamiiForums Tanzania Mama yangu ni mtu ambae amekua akinikwamisha kwenye maendeleo yangu

    Case ndogo sana hyo. Kuwa nunda ila usiwakosee heshima. Mi wangu wali nyanyua mikono juu waisanda yanu. Salamu watapewa ila mambo yangu siwaambii wanakuja ambiwa tu jamaa kafanya 1,2,3 waongee wagombe mi nimekula barafu sina habari. NB: Sio kila mipango yako ya kushirikisha wazazi. Fanya...
  4. Gien Banks

    JamiiForums Tanzania Pole kwa watanzania ambao hela imewakataa

    Blaza aache kusema ana hela, aseme anajimudu yeye maisha yake. Kuja kutambia watu Tsh 5 M, raba pair 6 na iphone 17 huo ji ushamba man 🤣🤣🤣 Zaidi inaonyesha dhiki aliyonayo na asili yake. Yeye ange toa comment bana nlikua point A nimesogea point B namshukuru Mungu tunge mu appreciate na hata...
  5. Gien Banks

    JamiiForums Tanzania Pole kwa watanzania ambao hela imewakataa

    Million 5 nayo hela ?? Unajisifia rab pair 6 na iphone 17. Daaah Wahed Kweli 🤣🤣🤣 Kweli Tunatofautiana, Bado Sana Kijana Tena Mbali Sanaaa
  6. Gien Banks

    JamiiForums Tanzania Dada yangu hapati mchumba, kila akipata anamkimbia

    Usafi Wa Mwili Vp ?? Alaf Njoo Kwenye Adabu, Heshima, Uelewa ??
  7. Gien Banks

    JamiiForums Tanzania America na Israel Wanetangazia Dunia Nzima Iran KawashiNda Vita

    Ko Iran Nae Mtu Sie Nyau ?? 😂😂
  8. Gien Banks

    JamiiForums Tanzania America na Israel Wanetangazia Dunia Nzima Iran KawashiNda Vita

    Wa Iran Wa Chanika Bana. Mnajifanya Mnajua kila kitu. Muda Si Mrefu Sikiliza Milio NB: Jumanne Leo
  9. Gien Banks

    JamiiForums Tanzania PICHA: Hili jengo linalojengwa Kariakoo kwa PPP ni balaa ni zaidi ya Mlimani City unaambiwa Serikali itajizolea zaidi ya TZS 2.5bn kila mwaka

    DDC mtaa wa muhonda, narung’ombe, congo, msimbazi demand ipo sana, frame zitalipa hela ya maana tu floor 4 kutoka underground, ground, first, second and third floor (pakikaa fresh) ni uhakika zitapata rent nzuri , huko juu ni ma store au office space tu. Kwa mitaa ile demand sina mashaka nayo.
  10. Gien Banks

    JamiiForums Tanzania Picha: Hujuma nzito katika miundombinu ya reli ya SGR

    YES upo sahihi chief [emoji817]
  11. Gien Banks

    JamiiForums Tanzania Picha: Hujuma nzito katika miundombinu ya reli ya SGR

    Acha Tu Aisee Hii Haivumiliki Wanataka Kuturudisha Nyuma Aisee Aisee Wachukuliwe Hatua Kali Sana Kisheria. Kuna Watu Wako Na Ufa.la mwingi sanaaa.
  12. Gien Banks

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri, nijenge au ninunue nyumba

    Blaza nishaona watu wakiingia kwenye majanga kama hayo hata kwa kuangalia kikubwa ni kupotezewa muda na fedha kutokana na migogoro iwe ya muuzaji mwenyewe au migogoro ya warithi. Inshort wauzaji anza kuwapekua kuanzia ngazi ya majirani, mjumbe wa nyumba 10, M/Kiti Serikali Ya Mtaa, Mtendaji...
  13. Gien Banks

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri, nijenge au ninunue nyumba

    Sijapatwa na chochote wala sijai tapeliwa isipokua stay vigilant na ujue full details and verify cz nyumba nyingi za kununua za urithi zina migogoro sana hasa kutokana na ndugu (wauzaji) kuzungukana ama aliye acha urithi ukute kuna namna ana mapingamizi yake aliyo acha. Inawezekana kununua ila...
  14. Gien Banks

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri, nijenge au ninunue nyumba

    Ina tegemea zipo za kununua na zimenyooka sana ila bei cheap kutokana na gharama za uenzi za zamani kuwa ndongo kulinganisha na sasa. Mfuko wako tu unanunua nyumba unaiongezea udambwi inakua kali zaidi. Kama unataka nyumba ya idea zako mwenyewe jenga yako isimamie mwenyewe usitake utitiri wa...
  15. Gien Banks

    JamiiForums Tanzania Mgonjwa wa sukari imepanda hadi 34

    Daaah umenitoa chozi Hadi nimetetemeka. Mungu akulinde mkuu, All shall be well. [emoji1488][emoji1488]🥹🥹 Kwa kweli tusijisahau sana wandugu. [emoji1488][emoji1488]
Back
Top Bottom