Recent content by Gideon Jeremiah

  1. G

    Hakuna haja ya Nyerere Day

    Siyo bure, yaani kwa ujinga ulioandika hapa, lazima utakuwa na matatizo makubwa sana kwenye akili yako.
  2. G

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ni muumini wa imani ipi?

    Kaka The Boss, nimekuelewa vyema: Nguruvi3 amesaidia kudadavua.
  3. G

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ni muumini wa imani ipi?

    Nguruvi3, nimekuelewa ipasavyo. Asante sana.
  4. G

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ni muumini wa imani ipi?

    The Boss bwana! Labda kwanza ungetusaidia huo umuhimu wa kujua imani ya PM wetu. Hivi, imani ya mtu huwa ni miongoni mwa vigezo vya kugombea ubunge?
  5. G

    Rais Magufuli na 'mgonjwa aliyerogwa'

    Kwanza kabisa nilishangaa sana namna baadhi ya Vyombo vya Habari vilivyoliwasilisha suala la noti mpya. Kwa namna Mh. Rais alivyozungumza kuhusu suala hili, sikutaraji kabisa Vyombo vya Habari hivyo kuupa Umma tafsiri isiyo ya kweli katika suala hili la noti mpya: Mhe. Rais alizungumza mambo ya...
  6. G

    Live now: ITV mjadala mzito wasomi wabobezi wanashiriki

    Bashiru ni mfuasi mzuri sana wa sera za Baba wa Taifa, Hayati Mwl. Nyerere. Wakati wote Bashiru huyatazama mambo kwa kina.
  7. G

    Je, mabadiliko yanapatikana nje ya CCM?

    Bora umemsaidia huyo mtu.
  8. G

    Rais Sikiliza Ushauri Uamuzi ni wa Kwako

    Ni maombi yangu kwa Mwenyezi Mungu kuwa Mheshimiwa apate fursa ya kuusoma ushauri wako huu, ndugu Msambichaka Mkinga. Nashukuru sana kwa kupata muda na kuandika ushauri huu mzuri.
  9. G

    UKUTA: Prof Mkumbo awataka wapinzani kutumia akili zaidi

    Safi sana, swali zuri sana hili.
  10. G

    Kauli Fupi ya Kuudhi: Upepo wa Jana Hausukumi Meli Leo

    Huwa nikiona 'uzi' wako, nakasirika sana kwa unafiki wako. Na, kwa kweli huwa najilaumu sana hata kwanini nilikuwa nakuheshimu mtu kama wewe. Lakini, muhimu ni kuwa sasa rangi yako halisi inajulikana.
  11. G

    Pres. Magufuli: Don't Put Your Sub-ordinates on Short-Leashes (ala Kilango)

    Ni vyema ukajifunza kukubali kukosea ili ujirekebishe; sasa umekwepa neno hilo kuwa siyo tusi (ijapokuwa ukweli ni kuwa hilo ni tusi), je na lile lililofuata baada ya hilo?
  12. G

    Pres. Magufuli: Don't Put Your Sub-ordinates on Short-Leashes (ala Kilango)

    Kwa kweli, watu tumetofautiana sana; sasa wewe ndugu, kulikuwa na haja gani ya kutoa maneno machafu kiasi hicho eti kwa sababu tu umetofautiana kimawazo na mleta hoja?! Ndugu, nafikiri ilikuwa ni vyema uandike mawazo yako kueleza kwanini unafikiri mawazo ya mleta hoja hayana mashiko.
  13. G

    Pres. Magufuli: Don't Put Your Sub-ordinates on Short-Leashes (ala Kilango)

    Ebwana, nakuunga mkono sana kwa hoja yako hii. Nina uhakika kabisa Mh. Rais ana nia njema sana na Nchi yetu na nina uhakika kwa kasi yake tutafika mbali sana; hata hivyo, mawazo yako haya uliyoyaandika hapa jamvini hakika ni ya msingi sana. Ninaamini ipo siku Mh. Rais atayafanyia kazi.
Back
Top Bottom