Bodi ya taifa ya shindano la kimataifa la Miss Utalii Tanzania,inahitaji mawakala wa kuanda na kusimamia fainali za Miss Utalii Tanzania kanda za:
Kusini (Ruvuma,Lindi,Mtwara)
Nyanda za Juu Kusini (Njombe,Mbeya,Rukwa.,Iringa,Songwe)
Kati (Dodoma,Singida,Morogoro)
Magharibi...