Hello family?
Naomba kupata uzoefu wa mtu aliyewahi au anayefundisha vyuo vikuu binafsi nchini. Hali ya malipo ikoje? amenities kama zinakuwa provided timely, job security, na treatment ikoje?
Nikipata mwenye uzoefu na vyuo kama SAUT, TUMAINI na St. John itakuwa bora zaidi.
Ahsante.
Wakuu habari zenu?
Kuna nafasi kadhaa za kazi zimetangazwa na NSSF, naombeni msaada njia ya kutuma maombi ni kupitia posta ama kuna njia nyingine, maana naona kule ajira portal hazipo.
Ahsante in advance.
Habari wadau wa JF?
UDSM ina hostels Ubungo karibu na Mic hotel au Ubungo bus terminal ambazo ni kwa ajili ya Masters na PhD students.
Naomba kuuliza utaratibu iwapo mwanafunzi wa Masters anahitaji kuishi Ubungo na sio Mabibo, what procedures to follow.
Msaada kwa waliowahi kusoma hapo UDSM...
Recently our country specifically Dar es salaam (Kariakoo), there is an ongoing strike waged by businessmen boycotting a long chain of taxes posing to them. This is a bad picture to our loyal government as reveals how it failed to make prior solutions to her people.
If the strike continue...
Habari wana jamvi!
Naomba kuuliza market availability ya assistant lecturers wa History ukoje? Je endapo mtu ana GPA ya 3.8 undergraduate na 4.5 masters anaweza kupata nafasi mapema kutokana na demand ya wahadhiri wa History?
Au atasugua sana kwa sababu wahadhiri wa somo la History ni wengi...
Nadhani kigezo cha GPA kingebaki hiko hiko cha undergraduate minimum 3.8 na Masters 4.0 and above, lakini kisiwe kigezo pekee. Wafanyiwe interview kuona uwezo wao wa ku instruct , kufanya tafiti na kusimamia darasa.
Wewe ni aina ya watu ambao ni mapimbi, umefundishwa na walimu then unawadharau kama sio upimbi nini? Na watu kama nyinyi hata elimu yenyewe hamna ya maana PUMBAVU
Na wewe pia ni pimbi, huwezi kufanya generalization namna hiyo. Kama mwalimu mmoja hajui haiwezekani ujumuishe walimu wote. Boda boda na walimu ni watu wa aina mbili tofauti, walimu ni wanataaluma na boda boda ni wajasiliamali wa usafiri.
Anyways ! Utaratibu ni kuandika barua ya kuomba transfer...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.