Nani anastahili kufundisha chuo kikuu?

Nani anastahili kufundisha chuo kikuu?

Kamilisha uzi wako mkuu,, ujenga hoja vizuri. Kwa jinsi ulivyoiweka ni kama kila mtu anajua unachotaka kusema.
 
Kamilisha uzi wako mkuu,, ujenga hoja vizuri. Kwa jinsi ulivyoiweka ni kama kila mtu anajua unachotaka kusema.
Mkuu jambo hili lipo wazi kabisa, kwani hata mfumo wa kuzipata hizo GPA ni tofauti kabisa kati ya chuo na chuo. Mfano SUA B+ (GPA 4.0-4.3) ambayo ni sehemu ya upper second class ni kwa wanaopata alama za 65%-69, na B- (GPA 3.0-3.9) ni kwa waliopata 60%-64% kwa UDSM B+ (GPA 4) ambayo ni upper second class ni kwa wanaopata alama kuanzia 60%-69%, C SUA (GPA 2.0-2.9) ambayo ni pass ni kwa wanaopata alama za 50%-59% pia SUA ukipata chini ya 50% umefeli. UDSM C (GPA2) ambayo ni pass kwa wanaopata 40%-49%. ukichunguza vizuri jinsi ya kupata GPA kwa SUA na UDSM utaona ni tofauti mfano ukipata 60% udsm (GPA 4) 60% SUA (GPA 3). Kwa maana nyingine GPA ya 3.5 ya SUA ni bora kuliko GPA ya 4 ya UDSM. Lakini huyu wa SUA anaachwa.
 
Pamoja na kwamba sio kigezo kikuu kama unavyofikiri lakini lazima tukubali GPA ndio kigezo cha kwanza cha kupimia. Tangazo la kazi linapotoka huenda wakatokea watu wengi wakaomba kuliko idadi ya nafasi zilizopo. Assumption kubwa inayofanyika ni kwamba hakuna hata mmoja ambaye anafahamika zaidi ya ku-rely kwenye documents alizowasilisha. Hebu tusaidie ndugu, una applications za watu A wenye GPAs 3.8-4.5 na B wenye GPA ya 3.4-3.7; na tunataka tufanye usaili kwa wachache (shortlisting); ni kwa vipi tunaweza kumuacha wa 4.4 na kumuita wa 3.4?? Hebu tusaidie hapa.

Kuwa na GPA kubwa na kushindwa kuonyesha uwezo huo katika kazi, sio kosa la GPA asilani. Hatuwezi kulaumu GPA hapa (Rejea debate ya correlation and causation). Ni kosa aidha la mfumo uliopo unaozalisha hizo GPA au makosa mengine ambayo yanahitaji more research kuyabaini. Katika hali ya kawaida (ceteris paribas), tunatarajia mwenye GPA kubwa atachukuliwa amefuzu zaidi kuwa shortlisted kuliko mwenye GPA ndogo; kwani nyote mmepimwa na vigezo hivyohivyo isipokuwa yeye amefanya jitihada ndio maana akapata GPA kubwa kwa hiyo pia ni dalili njema kwamba mtu huyo ana chembe za kufanya jitihada katika kazi. Niliwahi kusoma utafiti mmoja unasema kuwa wenye GPA kubwa huwa wanashindwa kuonyesha uwezo huo ni kwasababu ya hali ya ku-relax baada ya kupata viwango hivyo (wanaamini wao wamefika; they are over-bright! business is over, hakuna gumu tena mbele yao; hali yakuwa wenye GPA ndogo wanakuwa na hali ya wasiwasi na hivyo kuwapa nafasi ya kutaka kusahihisha makosa yao (wanajua kwamba kwanini wamepata GPA ndogo). They want to hide their weaknesses; as they do so, is how they keep on performing!

Kuhusu kutofautiana njia za kukokotoa GPA, nadhani haina nguvu sana kwasababu GPA za kutoka sehemu tofauti zinafanyiwa "equivalent" kutokana na workload wanazopewa katika kusoma kwao lakini kiwango cha GPA kikilinganishwa duniani kote kinakuwa na rate sawa (given that mfumo wa elimu katika nchi husika ni wa kimataifa na usimamizi ni mzuri).

Kwa upande wa incompetence ya wahadhiri wetu, nadhani tatizo ni ushirikishwaji mdogo wa kuweza kujenga uwezo wa kuunganisha (linkages) kati ya policy issues and academic issues. Kwa msingi huu, utabaini Mhadhiri ambaye ametokea kwenye kazi nyingine nje ya kufundisha anakuwa yuko more exposed na policy issues hivyo anachokifundisha anaweza kukitafsiri katika misingi ya kisera kitu ambacho muhimu kwa wanafunzi wa elimu ya juu kufahamu. Katika kupunguza changamoto hizi, na ikizingatwa kuwa vyuo vina kawaida ya ku-retain vijana wao waliofulu vizuri; nchi zilizoendelea huwa zinawa-attach wahdhiri wao kufanya kazi za kiutafiti au uchambuzi katika taasisi tofauti (Say, World Bank, Google, UN, Government Ministries, nk) ili wapate real sense on how policy design, formulation and analysis is being undertaken na hatimaye waje watumie uwezo huo katika kuhudumu shughuli za uhadhiri. Bahati mbaya hili halifanyiki kwetu. Ukute chuo kimeomba wahadhiri wake wawe attached na Wizara za Kisera zinazihusiana na maeneo yao ya kufundisha, nop! Hivyo, as long hatuna njia mbadala sana zaidi ya GPA ambayo tutaingalia kwenye Transcript yake, nadhani bado hoja yako haina nguvu sana. Labda hoja ya utofauti wa vyuo kwa ngazi ya Kimataifa, lakini sio kitaifa. Naweza nikaamini mwenye GPA ya 4.0 kutoka Harvard "huenda" akawa mzuri kuliko mwenye 4.5 ya Tanzania, hii ni kutokana na ulinganisho wa nchi katika ubora wa kiwango cha elimu na miundombinu ya kusomea iliyopo Harvard na aina ya wanafunzi aliosoma nao akiwa Harvard au Princeton kwa ujumla. Lakini UDSM vs Mzumbe, au SUA vs UDSM, kwangu sioni kama kuna tofauti kubwa

Watakaokwazika kwa maelezo marefu haya kidogo nawaomba msamaha; ni kutokana na uzito wa mada husika ambao unagusa maslahi ya nchi kwa upana wake.
 
Watakaokwazika kwa maelezo marefu haya kidogo nawaomba msamaha; ni kutokana na uzito wa mada husika ambao unagusa maslahi ya nchi kwa upana wake. Labda hoja ya utofauti wa vyuo kwa ngazi ya Kimataifa, lakini sio kitaifa. Naweza nikaamini mwenye GPA ya 4.0 kutoka Harvard "huenda" akawa mzuri kuliko mwenye 4.5 ya Tanzania, hii ni kutokana na ulinganisho wa nchi katika ubora wa kiwango cha elimu na miundombinu ya kusomea iliyopo Harvard na aina ya wanafunzi aliosoma nao akiwa Harvard au Princeton kwa ujumla. Lakini UDSM vs Mzumbe, au SUA vs UDSM, kwangu sioni kama kuna tofauti kubwa

usijali kwa unayoyaita maelezo marefu cha msingi ni kueleweshana. Binafsi mimi sipingi GPA miongoni mwa vigezo vingine vingi kuwa kigezo tena muhimu cha kumpata mhadhiri aliyebora. Kwenye RED nakubaliana na wewe. Lakini kutokuwa na utofauti kwa vyuo vya ndani sitakubaliana na wewe labda utoe ufafanuzi unaothibitisha hivyo. Kwa mfano SUA B+ (4.0-4.3) ni kwa candidate aliyepata alama za 65-69, SUA B- (3.0-3.9) ni kwa candidate aliyepata alama za 60-64, SUA C (2.0-2.9) kwa candidate aliyepata alama za 50-59, SUA ukipata chini ya 50 umefeli. UDSM B+ (GPA 4)kwa candidate aliyepata alama kuanzia 60-69. UDSM B-(GPA 3) kwa candidate aliyepata 50-59, na UDSM C (GPA 2) kwa candidate aliyepata alama 40-49. First class hamna mkanganyiko 70-100 SUA (4.4-5.0) na UDSM 70-100 (GPA ya 5) ingawaje GPA za UDSM siyo weighted, TCU wangeharmonize huu mfumo wa upatikanaji wa GPA kwa vyuo vyote uwe mmoja. Angalia kwenye RED hamna utofauti wa GPA kati ya SUA na UDSM?
 
usijali kwa unayoyaita maelezo marefu cha msingi ni kueleweshana. Binafsi mimi sipingi GPA miongoni mwa vigezo vingine vingi kuwa kigezo tena muhimu cha kumpata mhadhiri aliyebora. Kwenye RED nakubaliana na wewe. Lakini kutokuwa na utofauti kwa vyuo vya ndani sitakubaliana na wewe labda utoe ufafanuzi unaothibitisha hivyo. Kwa mfano SUA B+ (4.0-4.3) ni kwa candidate aliyepata alama za 65-69, SUA B- (3.0-3.9) ni kwa candidate aliyepata alama za 60-64, SUA C (2.0-2.9) kwa candidate aliyepata alama za 50-59, SUA ukipata chini ya 50 umefeli. UDSM B+ (GPA 4)kwa candidate aliyepata alama kuanzia 60-69. UDSM B-(GPA 3) kwa candidate aliyepata 50-59, na UDSM C (GPA 2) kwa candidate aliyepata alama 40-49. First class hamna mkanganyiko 70-100 SUA (4.4-5.0) na UDSM 70-100 (GPA ya 5) ingawaje GPA za UDSM siyo weighted, TCU wangeharmonize huu mfumo wa upatikanaji wa GPA kwa vyuo vyote uwe mmoja. Angalia kwenye RED hamna utofauti wa GPA kati ya SUA na UDSM?
Kama kuna tatizo la msingi kwamba workload wanazopewa ni kama sawa lakini grading za kukokotoa GPA ni tofauti, nakubaliana na wewe kuwa kuna tatizo linalohitaji harmonization au clear understanding. Lakini ikumbukwe pia watu wengi hawajipi muda kusoma taratibu za kila chuo labla ya kuomba chuo husika. Hili ni kosa kubwa, inatakiwa watu wasome prospectus ya kila chuo na waelewe repercussion ya kila kipengelea namna kitakvoathiri elimu yake.
 
ndugu hujui hata kujieleza after all SUA mna malalamiko sana kuliko uhalisia. Kozi zenu ndo zinawamaliza kwenye soko la ajira. Mmekaa kipori pori sasa mnataka kazi TRA na BoT. Nendeni huko kwenye mapori ya akiba/tengefu Maswa mkapambane na nyati. Mjini waachieni IFM na Zoom Polytechnic......
 
Hapq hata mimi hupataga ukakasi...utakuta lecturer anajisifu gpa kubwa lakini kwenye kufundisha ziro kabisa yani hana kabisa kipaji cha kuinstruct...linatia usingizi tu na wakati kuna watu wanajua hasa kutema madini lkn ndo ivo gpa imewapiga kofi.
 
ndugu hujui hata kujieleza after all SUA mna malalamiko sana kuliko uhalisia. Kozi zenu ndo zinawamaliza kwenye soko la ajira. Mmekaa kipori pori sasa mnataka kazi TRA na BoT. Nendeni huko kwenye mapori ya akiba/tengefu Maswa mkapambane na nyati. Mjini waachieni IFM na Zoom Polytechnic......
pole sana, mdau naona hujaelewi somo kabisa. Soma tena ndiyo uandike.
 
!
!
Na kwa taarifa yako sasa mimi nina ka advanced diploma tu ila kwa hapa kazini kwangu hata mwenye doctorate hanifikii kwa kuandika miradi. Na wao sasa swaga zao ni zile za wewe hustahili kuwa hata mwanafunzi wangu. Ndio hao hao wenye GPA kubwa na hakuna lolote mafala tu.
haya mkuu
 
UDSM bila GPA ya 4.4 and above hulambi chance.
Sheria inasema undergraduate iwe 3.8 na masters 4.0 and above. Hilo unalolisema si kweli maana nafaham watu wako hapo wana vigezo chin ya 4.4 ila wanavogezo vya 4.0
 
Kwenye nc
za nyuma baadhi ya vyuo kama SUA, MUST na MZUMBE walikuwa wanaajiri kiwango cha chini cha GPA ya 3.5 na vyuo kama UDSM, IFM, NM-IST ilikuwa ni 3.8. Sasa utumishi wakaja na mpango wakuwa na kiwango kimoja cha ufaulu kwa vyuo vyote vya umma na sifa za kupandishwa vyeo zinazofanana. Hivyo kiwango cha kuanzia kikawa ni 3.5 kwa vyuo vikuu vya umma. Hiyo ndiyo kwa ufupi
Kwenye nchi zingine huu ujinga hamna! Wao kwa assistant lecture wanataka second class( either lower or upper), lkni exception kubwa ukiwa na publication kwenye journal kubwa kama springer, nature, science direct etc, walau tatu, zako mwenyewe kama first author, hata kama una pass, unakuwa lecturer!! Vile vile kwa PhD holder! Huu ujinga uko huku nchi za kiafrica? Why the past can affect the future? And not the future affect the past?
 
Kwenye nc
Kwenye nchi zingine huu ujinga hamna! Wao kwa assistant lecture wanataka second class( either lower or upper), lkni exception kubwa ukiwa na publication kwenye journal kubwa kama springer, nature, science direct etc, walau tatu, zako mwenyewe kama first author, hata kama una pass, unakuwa lecturer!! Vile vile kwa PhD holder! Huu ujinga uko huku nchi za kiafrica? Why the past can affect the future? And not the future affect the past?
Usilazimishe vyuo kufuata vigezo vyako. Pia GPA inategemea inatoka wapi 3.8 ya SUA au UDSM si sawa na 4.8 ya Makumira au TEKU
 
Nadhani kigezo cha GPA kingebaki hiko hiko cha undergraduate minimum 3.8 na Masters 4.0 and above, lakini kisiwe kigezo pekee. Wafanyiwe interview kuona uwezo wao wa ku instruct , kufanya tafiti na kusimamia darasa.
 
Back
Top Bottom