Ndomana biashara ya duka la mangi sitokaa niifanye maana itanitia hasira nitatukana wateja bure imagine mtu anataka kibiriti cha sh 100 au kiwembe cha 100...hawa jamaa wanaouza maduka ya mangi wana uvumilivu sana aisee!
Mtoa mada yupo sahihi,faida atleast iwe asilimia 30 apo watu watapata faida...
Sijajua mnaoa wanawake wa aina gani,kwann asirap na mic mpaka wewe umwage??...mm wa kwangu tukiwa hatujasex wk mbili halafu ikatokea situation kama hyo huwa hajiulizi mara mbili anaomba mwenyewe mic arap...sasa mwanamke kama huyu unamcheat vp...sema wanaume tulivyo na roho ngumu tunacheat!
Je hyo ni account halisi ya stamina?...kama ndio au hapana,je hicho kilichoandikwa kina ubaya?...kama kina ubaya tudadavulie!...by the way kaandika kitu KONKI sana!
Watu wana hela mazee...siku moja kuna mzee alinipa simu yake nimrekebishie akiwa anapiga aweze kuchagua either ni sim1/sim2 sasa alivyonipa ilikuwa upande wa msg niliona msg crdb bank(naona aliweka mpunga siku hyo) mzee ana 600m halafu yuko normal kabsa!
Kijana acha ubahili,akila yeye wewe unadhurika na na nini?...yaan mtoto wa watu umlishe tembele daily amekuwa mbuzi?...yaan kununua nyama nusu inakushinda?...wewe huna uwezo wa kuishi na mke ishi peke yako nyang'au weee!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.