Jibu mbona liko dhahiri mkuu. Nenda huko Tandale na Manzese ndio utaelewa. Jamaa alikuwa anaishi "Double life". Mchana ni bondia mahiri na Usiku alikuwa ni mhalifu hatari sana...kama alivyojiita mwenyewe SIMBA ASIYEFUGIKA.
Dah! Wewe nae ni Baba? Namhurumia huyo mtoto na ustawi wa maisha yake ya baadae. Binadamu kama wewe mngekuwa mnahasiwa tu...kwa sababu hauna vigezo kwa kuwa Mzazi bora kwa kiumbe unachokileta Duniani.
Unaleta kiumbe duniani ambacho kitakuwa mzigo katika jamii. Kwa post yako nina hakika...
Huyu jamaa alikuwa mhalifu. Nenda maeneo ya Tandale na Manzese watakupa taarifa zake. Na vyombo vya Dola vilikuwa na taarifa zake. Vijana wengi walioingia kwenye ndondi miaka hii ya karibuni ni Wahuni na Wahalifu wakubwa katika jamii. Kwenye mazishi jana walijaa wezi na wahalifu kwa asilimia...
Mimi binafsi nilitegemea hivi mkuu. Ana bahati sana huyo nyang'au. Maana kikosi kazi kilikuwa kazini. Eti mtaalamu wa ngumi anapendelea watu wakija wengi!!!! WTF!!??
Haina haja ya kupoteza hela ya walipa kodi....huyu jamaa ilibidi atumbukizwe kwenye cyanide kule mgodini.
Hapo bugurini...
Kabisa mkuu. Huyu alitamba huko buguruni kwa kuwa wanaleana huko. Angekuwa pande za Kinondoni tayari zamanii mbona. Ulitoa mfano wa madogo wale kina Chamsela na wenzake. Mitaa hii haina usambusa wa kihivyo chief na wewe unaelewa. Magari tunalaza njee kwa amani kabisa.
Kama mna taarifa zake za ziada wekeni hapa ili wenye shughuli zao wafanye yao. Huyo jamaa hawezi kunyima Watanzania usingizi ...yeye ni nani? Wekeni anapopatikana...kama kuna mtu anajua nyumbani kwao kwa wazazi wake ili apelekewe hii vita mpaka kwao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.