Wazo la kabwela
JF-Expert Member
- Feb 13, 2013
- 1,894
- 1,485
ameacha kupambana na madawa ya kulevya anapambana na kejeli???
bwana utuhurumiee.....
bwana utuhurumiee.....
Miaka 250 jela na kazi ngumu....ukiingia viboko 12 na ukitoka viboko 12....ili wengine wajifunze. Sipendi nanihii kabisa!!!![]()
![]()
![]()
Jaribu ufanye kwetu uone cha moto.
Flow meter...bandari salamaHivi yale maagizo ya siku saba, wiki mbili, ziara za kushtukiza mara tu baada ya kuteuliwa kwa mawaziri wetu kuliishia wapi? Kuna aliyefuatilia maagizo hayo na kumalizika kwa muda wake, yapo yaliyotekelezwa? Ikiwa itakuwa utendaji wetu ni kukamata watu kila siku, basi hii siyoTanzania kama nchi, bali Shule ya Sekondari Tanzania. Tufanye kazi za msingi, itakuwa ni Tanzania pekee duniani ambayo raia hawana haki ya kukosoa watendaji wake, na ni katika kukubali kukosolewa, watawala hupata mrejesho na kurekebisha mambo.
Bwana Utuhurumie....ameacha kupambana na madawa ya kulevya anapambana na kejeli???
bwana utuhurumiee.....