Itafikia wakati tutachoka sasa wanaangalia hali ya maisha kweli???? Ufanisi wa kazi utakuwepo kweli??? Kwa hali hii kuna watumishi wa serikali watabakia na mshahara wa laki moja
Nashangaa jamii kujifanya wameguswa ktk hili wakati kwenye ishu ya Msigwa mliwaita walimu majina ya kila aina "Majambazi, wauaji, hawajui leba nk" Sasa walimu waacheni wazazi, walezi na serikali wanaojua uchungu wa leba walee watoto wao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.