Recent content by ghenry25

  1. G

    Sheria ya kuwakata 15% wadaiwa bodi ya mikopo elimu yasainiwa

    Itafikia wakati tutachoka sasa wanaangalia hali ya maisha kweli???? Ufanisi wa kazi utakuwepo kweli??? Kwa hali hii kuna watumishi wa serikali watabakia na mshahara wa laki moja
  2. G

    Natafuta kazi ya kufundisha mathematics

    Km watu mpo committed kweli na upo Dar tufungue centre tupige kazi kuajiriwa ni mzigo
  3. G

    Wazazi na walezi mnayajua lakini wanayoyafanya watoto wenu?

    Nashangaa jamii kujifanya wameguswa ktk hili wakati kwenye ishu ya Msigwa mliwaita walimu majina ya kila aina "Majambazi, wauaji, hawajui leba nk" Sasa walimu waacheni wazazi, walezi na serikali wanaojua uchungu wa leba walee watoto wao
  4. G

    Natafuta kazi

    BED MATH
  5. G

    Natafuta kazi

    Mimi mwalimu wa Mathematics natafuta ajira ya kufundisha jioni nipo Dar Kigamboni
  6. G

    Mwalimu wa Chemistry na Biology anatakiwa

    Ukitaka mwalimu wa hesabu yupo
  7. G

    Mtaji milioni 3, biashara ipi itafaa?

    Namba yako tafadhali nataka kuanza hyo buznes
  8. G

    Kiwanja kinauzwa

    Vikindu sehemu gani?
  9. G

    Viwanja Dar Zoo

    Ni matapeli hao
  10. G

    Kampala Junior Sec.School

    Kama mnahitaji mwalimu wa hesabu mwenye uzoefu wa miaka7 nipo
  11. G

    Ukioa au kuolewa na mwanafunzi jela miaka 30

    Anaepewa mimba pia afungwe labda kama kabakwa mabinti nao ni chanzo cha kupigwa mimba
Back
Top Bottom