Recent content by ghalibudadi

  1. ghalibudadi

    Mkoa wa Mtwara unafaa kuishi na biashara?

    mtwara bishara yoyote ile inaweza kufanya watu wa kusini in wakarimu sana sijapata kuona
  2. ghalibudadi

    Mnaosema maisha ya Arusha ni magumu kuliko Dar huwa mnamanisha nini?

    somalia hata kama pesa wangekua wanagawa siendi ng,ooo
  3. ghalibudadi

    Biashara ya Kuuza Nyama (Butcher's Shop): Mambo Mbalimbali ya Kujifunza

    Jamani nani kwenye kutaka tushilikiane tupeleke nyama ya mbuzi Comoro inalipa sana
  4. ghalibudadi

    Hivi pweza ni bei gani pale Kivukoni?

    ndy inategemea na ukataji mtu
  5. ghalibudadi

    Hivi pweza ni bei gani pale Kivukoni?

    ukiweza kukadiria vizuri unatoa mpaka vipande 59
  6. ghalibudadi

    Hivi pweza ni bei gani pale Kivukoni?

    bei inainategemea uku mtwara being in 6000 - 8000
  7. ghalibudadi

    Hivi pweza ni bei gani pale Kivukoni?

    kilomoja ya pweza unaweza kutoa vipande 30 mpaka 35 inategemea Na ukataji
  8. ghalibudadi

    Biashara ya samaki

    Broo mbona unakatisha watu tamaa Mimi nimeanza na mtaji wa shilling 160000 nimeanza kuuzia samaki kwenye deli ila kwa sasa Nina bucha ya samaki
  9. ghalibudadi

    Napenda sana mishangazi

    wana patikana wapi ao mishangazi nawapenda sana wanajua mapenzi
  10. ghalibudadi

    Wasichana wa Tanzania wanawapenda wanaume wa Kenya

    jamanai vipi tabia za wanawake wa kisomali zikoje asa kwenye mausiano
Back
Top Bottom