Recent content by ggkitangala

  1. ggkitangala

    Insert Smart Card Problem in Hp Compaq nc 6220

    Mkuu nimejaribu kuchange boot sequence na kuweka hard disk firs boot, pia nimerestore bios factory default settings. sijafanikiwa mkuu. labda kama kunanjia nyingine, naomba msaada.
  2. ggkitangala

    Window 7 profession not genuine

    Yes hii ndo njia rahisi WATT remover in Window 7
  3. ggkitangala

    Insert Smart Card Problem in Hp Compaq nc 6220

    Wakuu! Nina Laptop model Hp compaq nc 6220, Kila nikiwasha inaonesha ujumbe wa "insert Smart Card" na zamani nilikuwa natumia bila hiyo smart card, Baada ya ujumbe huo haiendelei tena kuwaka, Mda kidogo inajizima kwasababu haijaipata smart card, nimejaribu kufanya settings za bios, bila...
  4. ggkitangala

    Marekani kuishambulia Somalia

    Pamoja na kwamba Wamarekani na Wazungu wanatuendesha Waafrika, Wanatumia ubabe kututawala kwa UKOLONI MAMBOLEO, Ila na sisi Waafrika tunatakiwa kutulia, ELSHABAB WANATISHIA AMANI AFRIKA. ubabe wa nchini kwao wanataka kuziletea na nchi zingine afrika. Wametoka Kenya, wameanza TZ, fununu zinasema...
  5. ggkitangala

    Adobe Flash CS Series Magic-What have you done with this Magic Wand?-Tell JF

    Mheshimiwa, naomba unisaidie hiyo crack, nichakachulie Adobe flash cs3 yangu
  6. ggkitangala

    Kujisajili program ya quickbooks 2010 premiere version

    Hili tatizo nimeona hutokea kwa watu wanaotaka kuupdate Quickbooks online(Si unajua software nyingi tunazouziwa sio Original kutoka kwa Manufacturer) au huwatokea walioinstal demo, imewahi kunitokea hivyo nikinikiupdate, ikanipa option ya kuactivate kwa kujiregister. na usipofanya hivyo...
  7. ggkitangala

    Nisaidieni Wajameni Nahitaji Past Exam za NBAA (CPA)-Final Stage (Questions and Answers)kwenye Net

    WanaJf ee! Nimetembeza macho yangu weeee! kwenye net sijafanikiwa kuona Notes au Past papers za CPA(T) za NBAA (National Board of Accounting and Auditing), Labda nimeona za ACCA TU Hapa, but nilikuwa nataka za board. Please Guys if you have ever got in touch with what am asking, I critically...
  8. ggkitangala

    Picha hii imepigwaje????

    ma photoshoper noma aisee! nilipoangalia hii picha imenipa machungu kunawatu waliwahi kuniphotoshop vibaya.
Back
Top Bottom