Marekani wapo kwenye mpango mkakat wa kuishambulia Somalia kwa lengo la kuwatafuta na kuwaangamiza Al-Shabab wenye makaz yao Somalia!
Marekani wameshaanza kuzifanyia marekebisho ndege zake ambazo hazina rubani na huendeshwa kwa mitambo maalum,ndege hzo zipo kusini mwa Ethiopia katika mji wa Arba Minch!
>Leo Somalia,kesho wataingia Kenya ila siku watakuja Tanzania,mabeberu wana Ila nying sana!
Marekani wameshaanza kuzifanyia marekebisho ndege zake ambazo hazina rubani na huendeshwa kwa mitambo maalum,ndege hzo zipo kusini mwa Ethiopia katika mji wa Arba Minch!
>Leo Somalia,kesho wataingia Kenya ila siku watakuja Tanzania,mabeberu wana Ila nying sana!