Ni kweli kwenye kufanikiwa huwa ni ngumu kupata mafanikio kwenye nyanja zote za maisha, UKO SAHIHI.
Lakini maanandiko yanasema aliwaumba siku moja, mtu mume na mtu mke. Mwanamke wa kwanza aliona Adam anamzingua akaamsha.
Search for Lilith.
Pia jiulize kwanini Biblia inasema kizazi cha nyoka...
Una ungonjwa unaoitwa Herpes, huu ugonjwa huambukizwa kwa njia ya Ngono au kugusana na maji maji ya mtu mwenye huu ugonjwa.
Ungonjwa huu ni virusi, hivyo hauna dawa. Lakini kwa takwimu ni ugonjwa usio madhara makubwa endapo mwili wako una kinga ya kutosha.
Ni kama mafua, ishi nao.
Pia kama...
Kwaiyo na wewe ukoo wako ukiugawa ndio maendeleo yatakuja haraka?
Sasahivi ni muda wa kuwaza kuiunganisha Afrika iwe nchi moja, na sio kuvunja nchi zetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.