Recent content by ggenerale

  1. ggenerale

    JamiiForums Tanzania Tuambizane: Madalali (stock brokers) wa Soko la Hisa Dar (DSE) ambao wanafaa na wasiofaa

    Hapo weka na VERTEX, hawapokei simu, na wakipokea wanaweza hadi kukugombeza
  2. ggenerale

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mdada kama ulimkataa jamaa ujanani endelea kumkatalia hadi ukiwa 35+ endapo bado anakufuatilia

    🤣🤣🤣 Niliuza hivyo hivyo, akaniambia ataniroga..
  3. ggenerale

    JamiiForums Tanzania Baraka na laana katika ndoa

    Ni kweli kwenye kufanikiwa huwa ni ngumu kupata mafanikio kwenye nyanja zote za maisha, UKO SAHIHI. Lakini maanandiko yanasema aliwaumba siku moja, mtu mume na mtu mke. Mwanamke wa kwanza aliona Adam anamzingua akaamsha. Search for Lilith. Pia jiulize kwanini Biblia inasema kizazi cha nyoka...
  4. ggenerale

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu hawezi kuandaa milo mitatu kwa wakati na hataki msaidizi wa ndani

    Yani mkuu umeamua kuja kumuanika mkeo huku? Lile somo la wanaume kuwa na friji zinazohandisha hukulisoma?
  5. ggenerale

    JamiiForums Tanzania Bilioni 11 kununua taa tu?

    https://kljeng.com/news/airfield-lighting-system-equipment-replacement-cost Tupite hapo tuone
  6. ggenerale

    JamiiForums Tanzania Picha yenye maana kubwa na kufikirisha

    Angalia hao wala nyama wanaipataje, na hao wala majani wanayapataje, huwezi kimbiza swala ukiwa kibonge..
  7. ggenerale

    JamiiForums Tanzania Wasabato acheni upotoshaji mwanamke wa ufunuo 12 sio Kanisa, ni bikira maria, mtoto aliyemzaa atayewachunga watu na fimbo ya chuma ni Yesu Kristo

    Sawa, tumekuelewa, tuambie na mwanamke kahaba anaetajwa hapo ni nani?
  8. ggenerale

    JamiiForums Tanzania Halmashauri kuongozwa na wanawake tu

    Mmh, kwani mkurugenzi wa halmashauri ya biharamulo ni ke? Mbona mi nilisikia ni me? Pia mkuu wa uhamiaji ni me...hivyo sio wote
  9. ggenerale

    JamiiForums Tanzania Viupele hivi vinaota mara kwa mara kwenye uume na vinauma vibaya mno, ni ugonjwa gani?

    Una ungonjwa unaoitwa Herpes, huu ugonjwa huambukizwa kwa njia ya Ngono au kugusana na maji maji ya mtu mwenye huu ugonjwa. Ungonjwa huu ni virusi, hivyo hauna dawa. Lakini kwa takwimu ni ugonjwa usio madhara makubwa endapo mwili wako una kinga ya kutosha. Ni kama mafua, ishi nao. Pia kama...
  10. ggenerale

    JamiiForums Tanzania Wazo: Tanzania iwe shirikisho la nchi nne. Tanzania kusini, Tanzania Kaskazini, Tanzania Magharibi na Tanzania Mashariki

    Mikoa yetu na wilaya zetu zina marais wake, zina sarafu zake, zina bendera zake, zina mabalozi wake wanazoziwakilisha nje. Ungesema tugawe kwenye majimbo ingekuwa na mashiko zaidi.
  11. ggenerale

    JamiiForums Tanzania Wazo: Tanzania iwe shirikisho la nchi nne. Tanzania kusini, Tanzania Kaskazini, Tanzania Magharibi na Tanzania Mashariki

    Kwaiyo na wewe ukoo wako ukiugawa ndio maendeleo yatakuja haraka? Sasahivi ni muda wa kuwaza kuiunganisha Afrika iwe nchi moja, na sio kuvunja nchi zetu
  12. ggenerale

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

    Ni watu wanaojitahidi sana kutopendana, sidhani kama umoja huo utadumu
  13. ggenerale

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Licha ya Kibamia, eti ameoa! Uchawi wa kimapenzi

    Haina button ya undo. Ndio raha ya kuwa mwanaume
  14. ggenerale

    JamiiForums Tanzania Umeanza kutumia mtandao lini? Wale wa kale tukutane hapa

    Umetisha sana, 2008 mig33, marafiki.com, hi5. Hizo akina yahoo messenger na mwenzake hotmail ni tangu 2001.
Back
Top Bottom