Habari JF,
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu cha IFM, niliibiwa vyeti vyangu vya form six, pamoja na Laptop yangu katika begi, nilikuwa naulizia kuwa naweza kupata vyeti vingine kutoka NECTA?? kwa aliewahi kufuatilia suala kama hili, msaada Tafadhali
huko hakuna msaada wowote mkuu, yani ni pesa mbele, mimi niliibiwa begi langu likiwa na laptop na vyeti vyangu nikiwa chuo pamoja na simu yangu but till now nothing is done
Hello JF,
Kama heading inavyojieleza natoa huduma za kutengeneza blogu na website kwa bei nafuu kabisa ya kuanzia elfu 2O/=
nichek WhatsApp O652 92O 596
Habari JF,
Mimi ni mtaalamu wa masuala ya IT na nimekuwa nikijihusisha na masuala ya kutengeneza websites na blogs kwa muda mrefu sasa, kwa yeyote anaehitaji kutengenezewa blogu kwa bei rahisi kabisa ya kuanzia elfu 2O/= ikiwa na muonekano mzuri na kuinganisha na Google AdSense
Napatikana...
kuna kampuni moja ya kibongo inaitwa seebait.com unaeza kuitumia kwa kuweka ads katika blogu yako iko fresh sana na wanalipa kuanzia $5O
ingia kwenye web yako, au nichek kwa WhatsApp O65292O596 / Mpemba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.