Bornventure
JF-Expert Member
- Jan 29, 2017
- 529
- 523
Tafadhari naomba msaada mwenye ujuzi kutrace namba ya simu.
Mkwehahaha ulioaje mke wa hivo mkuu?
huko hakuna msaada wowote mkuu, yani ni pesa mbele, mimi niliibiwa begi langu likiwa na laptop na vyeti vyangu nikiwa chuo pamoja na simu yangu but till now nothing is donekama ni smartphone na unaijua email na password yake unaweza itrace simu yako kama ipo online utaona alipo.
alternative nenda polisi cybercrime na imei kama unayo au namba ya simu watakusaidia kutrack.
uliwapa details husika?huko hakuna msaada wowote mkuu, yani ni pesa mbele, mimi niliibiwa begi langu likiwa na laptop na vyeti vyangu nikiwa chuo pamoja na simu yangu but till now nothing is done
Mkwe anaolewa?hahaha ulioaje mke wa hivo mkuu?
Hapo kwenye email na password inakuaje chief?kama ni smartphone na unaijua email na password yake unaweza itrace simu yako kama ipo online utaona alipo.
alternative nenda polisi cybercrime na imei kama unayo au namba ya simu watakusaidia kutrack.
labda haijapatikana kweli, kama imeuzwa vietnam ama india utaipataje?Ni kweli police usanii umezidi niliibiwa simu mwaka Jana nikaenda police kitengo cha cybercrime wakadai niwape imei na namba ya simu iliyokuwemo kwenye simu, hakuna chochote kila nikiwapigia wansema bado na walisema ikipatikana watanipigia mpaka Leo hakupatikana
itategemea na aina ya simu na kama ameiflashHapo kwenye email na password inakuaje chief?
Kwa polisi usanii unakuwa mwingi
Simu yenyewe ilikuwa tecno c8labda haijapatikana kweli, kama imeuzwa vietnam ama india utaipataje?
Hahahaaa acha kumtia preshaYupo kwa mwenzako,so kuwa mpole.