Recent content by gerry ZaNtes

  1. gerry ZaNtes

    Makombora ya Iran yanafika kila kona Israel

    Duuuh kuna watu wana vitu humu ndani hatarrr. Utadhan wanaishi mashariki ya kati...
  2. gerry ZaNtes

    Which country has best intelligency agency

    Ngoja na mimi niitafute mkuu. So far nimeshuhudia operation nying za mossad and my favorite ni operation orchard, thunderbolt(entebe), na opera. Jamaa wamebarikiwa sio siri. They are the chosen ones.
  3. gerry ZaNtes

    Which country has best intelligency agency

    A Palestinian terrorist who was wanted has being assasinated in the bulgarian embassy early today. Dont mess up with the mossad, they will get u wherever you are.
  4. gerry ZaNtes

    WhatsApp Messenger: Android + iPhone + Nokia + BlackBerry + Windows Phone

    Hey, I just downloaded WhatsApp Messenger on my Android. It is a smartphone messenger which replaces SMS. This app even lets me send pictures, video and other multimedia! WhatsApp Messenger is available for Android, iPhone, Nokia, Windows Phone and BlackBerry and there is no PIN or username...
  5. gerry ZaNtes

    Wafanyakazi HALOTEL tunataabika

    Ni hatar sana hawa jamaa
  6. gerry ZaNtes

    Wafanyakazi HALOTEL tunataabika

    Ni heri kupoteza kuliko kunyanyaswa na weupe ndani ya nchi yetu wenyewe. Huwezi kwenda nchi zao ukawafanyia ujinga huu watakupoteza mapema sanaa...
  7. gerry ZaNtes

    Which country has best intelligency agency

    Nimependa ulivyobrief with strong points. Ukizielezea operation zilizokua achived na mossad. Kuna latest operation inaitwa "operation orchad"...inadhihiridha how these guys are inteligent.
  8. gerry ZaNtes

    Which country has best intelligency agency

    Mossad ilikua haijaanzishwa wakati wa hitler baada ya kugather katika nchi yao yaan israel ndo wakaanzisha mossad kwa nia ya kuwasaka wote waliohusika na holocust na maadui wengine wa ndan na popote duniani.
  9. gerry ZaNtes

    Which country has best intelligency agency

    Mossad ni hatari sanaaa. Wanakupata popote ulipo duniani. Wanaakili nyingi sanaaaaa.
  10. gerry ZaNtes

    Wafanyakazi Wazawa HALOTEL tunanyanyaswa.

    Tafadhali muheshimiwa waziri naomba uanze na kampuni ya halotel wafanyakazi wazawa tunanyanyasika sanaaaa. Hatuna mikataba inayoeleweka, mishahara kiduchu wakat kazi kubwa, hatupewi overtime wakat tunafanya kazi hadi usiku wa manane, hatupewi hata bima ya afya, tunatumia fedha zetu wenyewe...
  11. gerry ZaNtes

    Wafanyakazi HALOTEL tunataabika

    Tafadhali muheshimiwa waziri naomba uanze na kampuni ya halotel wafanyakazi wazawa tunanyanyasika sana. 1. Hatuna mikataba inayoeleweka 2. Mishahara kiduchu wakati kazi kubwa 3. Hatupewi overtime wakati tunafanya kazi hadi usiku wa manane 4. Hatupewi hata bima ya afya 5. Tunatumia fedha zetu...
  12. gerry ZaNtes

    Umewahi kutokewa na hali kama hii ulipokuwa umelala?

    Duuh hii sasa mbona hatar mkuu
  13. gerry ZaNtes

    Umewahi kutokewa na hali kama hii ulipokuwa umelala?

    Duuuh sasa mwisho ni lin mkuu au hmna mwisho?
Back
Top Bottom