Ahhsante mkuu yanii haikupita lisaa nkairudia hii post ... Naomba tuchekiane kwa namba za simu labda watsapp Itakua powa zaidi tutashare ideas kwa ukaribu zaidi my no Ni hii hapa ....+91 810 516 3094 anytime am available don't hesitate pia naomba ur no. If possible
jamani am also an artist .....nawaunga mkono all my fellows wanaokubali art....na wanao do art...nipo kwenye hili game sema nipo too quiet ....pilika za masomo zanisumbua....but big up saana to idris napenda his works...but inabidi..a advance kwenye colours cause they reveal the reality ...of...
I dont think its right to discourage..the...business you are doing..keeep advertising no matter how people think about yu ...i know mnasaidia watu kupata elimu...nd at the same time..they have to pay yu back for your services ...nyc job pide 89 ....
kwa wale affiliates wa mambo ya electronics .... naombeni kushare na nyinyi software inayoitwa YENKA ambayo ina weza ku simulate electronic circuits na kuzitest kama zinafanya kazi au hazitafanya kazi iwapo utazi create in reality.
Vile vile itaweza kuonyesha kama circuit yako ita blow off...
daah yaani umeshanipa bonge la mwanga chief, kumbe u mean siri in iphone is an also an example daah hyo nowma its one of the things that inanfanya niikubali iphone
AHH mkuu nshaigoogle hyo, kumbe its just a recognition system smarter than any other .....kwenye hyo syt yao they said it could differentiate breeds of dogs only by just seeing them, n nowma sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.