Nimesahau password ya laptop yangu

Nimesahau password ya laptop yangu

Sasa hata kama nimeiba inawahusu nini nyie kama sio viherehere.Kama mnajua nisaidieni kama hamjui pigeni kimya.

Inatuhusu sababu umetangaza kwenye huu uwanja wa wote,mbona hujasahau password ya ATM card
 
Issue ndogo sana hiii we nione nikusaidie tafadhali hilo linatatulika tu very simple sana
 
toa hiyo Hdd kisha funga kwingine, huko ondoa taarifa zako zote muhimu then i format na ku reinstall windows utakapoirudisha sehemu yake
 
Fungua laptop halafu chomoa jumper ilikuclear bios then irudishe.....sometimes hata hukitoa CMOS battery na kurudisha huwa password inatoka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom