Hata kama hujui statistics utagundua tu hi abnormal variation ya data za matokeo, angalia namna ambavo top performers walivyo deviate from average score.... hapa ndo utagundua kuwa kulikuwa na home advantage kwa wanafunzi wa Mzumbe
Shida sio idadi ya watu wanaochomoka shida ni maswali kuwa too personalized kwa graduates wa chuo husika kiasi kwamba itafika kipindi kila mtu atakuwa anaomba chuoni alipo graduate yeye tu
Guys... jana nilifanya written interview kada ya Tutorial Assistant (Marketing) pale Mzumbe itoshe kusema sitaomba tena nafasi chuo kikitangaza nafasi bora niombe wakitangaza utumishi wenyewe 😄
Sikia mostly wanachukua marks zako za written wanajumlisha na za Oral then wanatafuta average ukiingia na marks za written ndogo sana inakuwa ngumu kucompete na walio score marks nzuri kwenye written
Hawa gaming board nlifanya gaming inspector III paper ilikuwa nyeupe mchawi speed tu yani niko swali la pili naskia bado dakika 5 nadhani paper ililenga zaidi kupima speed 😢 😭
Hili amesha li-discount kwenye avarage time ambayo ndege ya aviator inapaa (30 seconds according to his observations) tatizo ni hyo Fibonachi formula naijua vizur sana ukiwa na capital ya million utarize na fall lkn eventually itakusaliti tu because of diminishing capital in the long run
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.