Habari wana bodi
Naomba uzoefu wenu kwa mtu yeyote aliewai tumia hii mashine winchi hasa kwenye kazi za kubebea zege.
Aina gani nzuri, tani ngapi nzuri kwa ujenzi wetu wa wastani, matumizi yake kama kweli inafaa mtu wa ujenzi kua nayo au kama kuna lolote la ziada please share tufaidike sote...
Mimi sio mchambuzi mzuri wa soka ila nachojua au kuamini ni ngumu sana kumfunga simba nyumbani na ukiangalia takwimu ni kama haiwezekani hata ndroo pia ngumu kwa timu ngeni.
Kwa msingi huo nilikua naombea kama Simba itafungwa leo basi zisizidi zaidi ya goli 2 sbb simba inauwezo mkubwa wa...
Kuna wkt ili uweze kuelewa na kuamini kwann vitu flan vinatokea unabidi uyaishi hayo maisha vinginevyo utashangaa kama tunavyomshangaa huyu anaekimbia 12m na kufata 2m. Waliosema hela sio kila kitu hawakuwa wajinga na uhakika humu ndani JF wapo watu waliokimbia mishahara mikubwa na kufata midogo...
Mkuu Ambrose Koller kila nikitaka kujibu swali lako nasita sbb sijui unataka nyumba ya flavour gani, hali ya kiwanja ikoje, kiko wapi na unalenga kuwapangisha watu wa class gani!! Mfano nyumba yenye King post 1m ni tofauti kabisa kabisa kwny gharama na ya king post 5m, kiwanja tambarare ni...
OKW BOBAN SUNZU kama hutojali nichek
kwa WhatsApp +255652494919 tufanyekazi. Nimetoka kumaliza kazi kama hiyo tabata chang'ombe japo ni ndogo kiasi ukilinganisha na yako
Hi! Guys
Kuna task nimepewa, naomba kuuliza kuhusiana na vifaa vya uchimbaji wa dhahabu.
1.Cyclone ni nini nainafanya kazi gani migodini?
2. Air compressor ya piston 3 na 4 zina uwezo wa kutoa upepo wa bar ngapi kila moja?
3. Ball mill ya tani 3 kwa saa ni bora kuagiza za kichina au kuchonga...
Hi! Guys
Nje ya mada kidogo.
Kuna task nimepewa, naomba kuuliza kuhusiana na vifaa vya uchimbaji wa dhahabu.
1.Cyclone ni nini nainafanya kazi gani migodini?
2. Air compressor ya piston 3 na 4 zina uwezo wa kutoa upepo wa bar ngapi kila moja?
3. Ball mill ya tani 3 kwa saa ni bora kuagiza za...
Hi! Guys
Kuna task nimepewa, naomba kuuliza kuhusiana na vifaa vya uchimbaji wa dhahabu.
1.Cyclone ni nini nainafanya kazi gani migodini?
2. Air compressor ya piston 3 na 4 zina uwezo wa kutoa upepo wa bar ngapi kila moja?
3. Ball mill ya tani 3 kwa saa ni bora kuagiza za kichina au kuchonga...
Hi! Guys
Kuna task nimepewa, naomba kuuliza kuhusiana na vifaa vya uchimbaji wa dhahabu.
1.Cyclone ni nini nainafanya kazi gani migodini?
2. Air compressor ya piston 3 na 4 zina uwezo wa kutoa upepo wa bar ngapi kila moja?
3. Ball mill ya tani 3 kwa saa ni bora kuagiza za kichina au kuchonga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.