Recent content by genius26

  1. genius26

    Ukurasa wa kujadili hot threads: Naanza na hii "Huyu ndiye mwanaume ninayemtaka"

    endeleeni kuchagua hvyo hivyo , kwa utashi wangu nguvu ya kuchagua kwa mabinti inaishia kwenye kuchagua mchumba na cio mume ...! labda iwe bahati huyo mchumba uliemchagua aje kua mume ila cio mara zote ufikia huko
  2. genius26

    Waziri Mkuu Majaliwa atoa siku tatu kwa wafanyabiashara kusambaza mafuta nchini tena kwa bei ile ile

    good idea , lakin ulikua wapi siku zoye hadi tatizo likafikia hapa lilipo....!
  3. genius26

    Kama unaumizwa na break up pata tiba hii

    aisee hii kweli ni remidy
  4. genius26

    Kweli kupata mwenza wa maisha ni kama bahati

    hawa viumbe ...! akijua tu umemwelewa basi lazima wazingue
  5. genius26

    Fahamu makundi makuu mawili ya vijana wa kiume 20's

    kundi la pili liko poa sana , nadhan na mimi ni member humo
  6. genius26

    CHINA: Bunge lapitisha kuondolewa kwa ukomo wa mihula ya Urais. Xi Jinping kutawala maisha

    kumbe hii kitu inawezeka enhe..! ahaa ndio maana yule mbunge aligusia suala kama hilo hapa Tz kipima upepo..! ila yeye alitaka 5+2 kwa mkulu aliyeshika hatamu sasa
  7. genius26

    Umewahi kuwa na mpenzi 'hopeless' ambaye zaidi ya 'sex' hakuna kinachowaunganisha?

    Nisieleweke vibaya but ni mara nyingi wadada wenye mwonekano wa kuvutia vichwan ni shida.. Me mwenyewe nina single mother wangu kiukwel ananivutia sana kwa mwonekano , lakin mipango na malengo ni kama hana , yaan hadi unamlazimilisha mtu aje na wazo la biashara ili umwezeshe lakin bado ni...
  8. genius26

    Kweli nimeamini hakuna kitu muhimu kama kuwa na amani ya moyo

    Dah! Pole jamaa yangu , wadada mara nyingi wanaponzwa na midomo yao , na cjui kwanini hawajifunzi...
  9. genius26

    Kuna mwanaume anatafuta mtu wa kuoa akakosa?

    Hyo ndio hali tulionayo kwa sasa , yaani imekua ni very simple kupata DEMU lakini kupata MKE aisee! ni kaZi tena sana
  10. genius26

    Bangi ni mbaya sana

    Aisee hii ki2 ni ya ajabu sana , sema inategemea na kichwa chako kilivyo , coz kikiwa chepes basi fikra zutashindwa kuzihimili na hatimae unafanya mambo ya ajabu Ila kma ikikukubali(ukawa na kichwa kizuri) basi hii kitu itakupa full meditation na utaweza ku-achieve mambo mengi ambayo...
  11. genius26

    Ruby - Are You Ready (Audio)

    Huyu dada ni moto sana , me namweka kati ya wanaojua sana hapaTz Nackitika kwa waliombania promo redion coz najua kwa upande mwingne inakula na kwao pia
  12. genius26

    Freedom speech sio freedom ya kutukana

    Speech nimaneno/mawazo yaliyopangiliwa yanayotoka kwenye kinywa cha mtu au yaliyo wasilishwa kwenye mfumo wa maandishi na hata audio , nia ni yawafikie watu wengne ili waweze kujifunza , kupongeza , kushauri na hata kukosoa. Tukianza hapo , Freedoom of speech" ni hali ya kuwasilisha hayo mawazo...
  13. genius26

    TCRA yavipiga faini Vituo vya runinga ya Tsh. Mil 60 kwa kukiuka maadili ya uandishi na kutangaza habari za kichochezi

    Hii kazi kweli kweli ... Aya ni matokeo ya ulee muswada wa habari Ngoja tuone huko mbelen itavyokua but i ithink we 'll be the next Iran.. Namkumbuka Nash Mc a.k.a Zuzu , ngoja nimnukuu aliwah kusema hiv " Wanyonge wakichoka wanageuka wa-negative(-) " ha ha ha! hip hop mbele mbele kwa mbele
Back
Top Bottom