kwa hiyo ww ulitaka nijiitaje?? Na umelazimishwa kukoment post ya mtu humu ndani,,embu acha tabia zako za uswahilini kwenu ww unijui wa sikujui kwahyo kua makin sio kila mtu wa kumletea upumbavu wako...SHENZIIII weee
Habarini za muda huu wana jamii wenzangu........kuna kitu tangu ningali mdogo najiulizaga alafu sipati majibu kuhusu mfumo uliotumika kuundia kalenda,,Hivi kwanini kila mwaka mwezi wa pili(february) unakuwaga ni mfupi???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.