Toa sh milioni 7 ilete huku kwenye ufugaji wa samaki kwa vizimba, utaanza na kizimba cha vifaranga vya samaki elfu 15 hadi elfu 17 aina ya Sato, kilo moja ya samaki ni sh elfu 7 baada ya miezi 6 kwa uchache unaweza kuvuna kuanzia tan 10 hadi tani 12
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.