Recent content by General 5887

  1. General 5887

    Makadirio ya Gharama za ujenzi wa Ghorofa 1

    Ndio nashangaa kagorofa moja tu.cha kuwatisha majirani.mpak 16mm..
  2. General 5887

    Makadirio ya Gharama za ujenzi wa Ghorofa 1

    Ahsante sana kwa ushauri wako
  3. General 5887

    Makadirio ya Gharama za ujenzi wa Ghorofa 1

    Kweli,ndio nmeamua mkuu.naumiza kichwa kwenye nondo na slab..mfuko ikikazia hapo nafanikisha nilichokusudia.
  4. General 5887

    Makadirio ya Gharama za ujenzi wa Ghorofa 1

    Kanyumba kagorofa 1 tu..#juu room 1 tu...
  5. General 5887

    Makadirio ya Gharama za ujenzi wa Ghorofa 1

    Ushauri niliiomba ni upande wa nondo.kwani nampango wa kusomba kiwandani kwa wakati m1..ndio maana nmeuliza tone 5.zitatosha mpk slab.maana ghorofa ni nondo.
  6. General 5887

    Makadirio ya Gharama za ujenzi wa Ghorofa 1

    Nmeuliza kwa upande wa nondo boss
  7. General 5887

    Makadirio ya Gharama za ujenzi wa Ghorofa 1

    Hbr wana JF, Naomba kuuliza, natarajia kuanzisha ujenzi wa nyumba ya gorofa 1 yenye ukubwa wa 14mt x 15mt. Vyumba vinne juu chumba kimoja chenye ft 17.5x17ft JE, tone 5 za nondo milimit 12, zinaweza kutosha mpk slab ya kubeba gorofa 1 iwapo tone 1 ya nondo nmeambiwa zinakaa 89. Ardhi ipo...
  8. General 5887

    Naomba Ushauri wa Namna ya Kuanzisha Taasisi Binafsi ya Upelelezi Nchini Tanzania

    Wazo zuri sana,nikweli mimi pia natamani kuwamo ndani ya taasisi ya upelelezi..kwan katika utafutaji wangu,madudu n mengi sana kiasi kwamba wahusika wanakua km hawaoni ama cjui vipi..taasisi za kiuepelezi zikundwa zitasaidia.mfano wala rushwa ,magendo ya utoroshwaji wa shehena mbalimbali Za...
  9. General 5887

    Wanaopata wanawake wakishua wanafanyeje?

    Cc wakufugwa ndio tumeanza funguliwa kiongozi
  10. General 5887

    Wanaopata wanawake wakishua wanafanyeje?

    Ununio ndio wap huko?
  11. General 5887

    Natafuta mume wa kweli

    Ulokole umempeleka mpk 34yrs..kajakustuka wenzie wameshajemga familia..@ Akuzidi kipato kivipi? Iwapo wewe hujaweka wazi kipato chako.!!
  12. General 5887

    Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

    212MEN ipo kwenye damu.since 2000-mpk kesho.
Back
Top Bottom