Kulikuwana jamaa mmoja aliekuwa anadai pesa yake, siku moja alinishangaza sana, MDAIWA-nivumilie leo tu kesho mimi nitakukulipa deni langu lote, CHAKUSHANGAZA, Mdai ashakumu simatusi, unagongwa sana? ninakupa msaa mawili kabla sija kuitia polisi.
JE WEWE UNGEKUWA MDAIWA UNGEFANYAJE?