Kwa tarifa tuu mleta maada" Rais ni Taasisi, haongozi nchi peke yake, anapofanya teuzi wakati mwingine analetewa majina na wataalamu wake wengine hata hawajui sana, lakini kwakuwa anao watu wenye weledi pale Ikulu, watu hao sio Islam peke yao, wapo pia christian, lakini pia anao wataalamu kutoka...