Habar wadau??
Naitwa Genchi naomba msaada wa connection ya kupeleka biashara(nafaka) nchi ya comoro! No ndoto yangu mda mrefu kufanya export na nimechagua comoro kama nchi ambayo inaweza kunivusha! Kwa yyte mwenye connection ya huko naomba msaada wake. Ahsanteni
0683775566
Wadau habar? Nimepata wazo la kufanya bishara ya mchele/mpunga.
Kama kuna mdau humu anaifanya naomba ushauri ;
Je ipi bora zaid
Kununua mpunga kuweka store kisha unauza badae?
Kununua mchele mkoani na kusafirisha dar kuuza?
Au ipi njia nyingine bora ya kufanya hii biashara?
Ahsanten kwa wote...
Mm napenda na nataman sana kufuga samaki pamoja na kuku!!
nikitaka kufuga samaki kuanzia kujenga bwawa inatakiwa niwe na kias gan kwa kuanzia kiwango cha chini?
Mimi sio mwanasiasa ila ni mpenda mabadiliko hasa ktk katiba yetu ya Sasa Mana ina mapungufu mengi na haiendan na mfumo wa vyama vingi.
Kosa la Mbowe na wenzake ni nn hadi kuwekwa kizuizini?
Ukiangalia baadhi ya matukio ya kisiasa Africa utabaki kujiuliza maswali mengi yasiyo na majibu. Baada ya Uchaguzi wetu Tanzania kuleta taharuki nyingi leo wote tunaangazia uganda kinachoendela.
Ukiwa kama mdau wa siasa una maoni kuhusu uchaguzi mkuu wa Uganda?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.