Recent content by gema

  1. G

    Kupiga hatua katika biashara yako

    Unaeza ongeza mawazo zaidi ya namna ya kukuza biashara.
  2. G

    Msaada: Jinsi ya Kusajili Biashara ya Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

    Nimeelewa hiyo changamoto ya TIN. Just check on TRA watakushauri the best way possible. But I think TIN bado itabaki kwa jina lako watakacho fanya ni kuiwezesha iwe TIN yenye uwezo wa kufanyia biashara sababu TIN ya udereva huwa sio for business purpose.
  3. G

    Msaada: Jinsi ya Kusajili Biashara ya Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

    Maana ya business name ni unakuwa na jina la biashara kama kampuni kabisa na unalisajili Brela. mfano ukisajili "Tanzania Web Consulting Ltd" meaning wewe Lady Ra from that point utakua unafanya biashara kama "Tanzania Web Consulting Ltd" na sio as Lady Ra. Ni njia rahisi zaidi ya kupata...
  4. G

    Kuanzisha na kuendesha website

    Mkuu mi naweza. But please elezea kidogo aina ya website unayotaka. Nimekutext PM
  5. G

    Msaada: Jinsi ya Kusajili Biashara ya Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

    Njia rahisi zaidi ni kusajili a business name Brela baada ya hapo utafute TIN kwa ajili ya biashara yako TRA. Sio lazima usajili kampuni kamili - Business name inatosha kama ni biashara ndogo ambayo unaifanya wewe binafsi. Hatua - Ingia kwenye website ya brela: https://ors.brela.go.tz/ create...
  6. G

    Kupiga hatua katika biashara yako

    Unaweza soma makala nyingine nyingi za uwekezaji na ujasiriamali kwenye tovuti ifuatayo: Uwekezaji na Ujasiriamal(Bofya Hapa) Hatua ni umbali kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine au kutoka kiwango kimoja kwenda kiwango kingine. Mtu ambaye hapigi hatua katika biashara yake ni mtu ambaye...
  7. G

    Wazo la biashara (Part 2): Kigeuze unachokipenda kuwa bidhaa au huduma (biashara)

    Nashukuru you are a testimony that it works -- doing what you like!
  8. G

    Wazo la biashara: Changamoto zilizopo katika jamii unayoishi

    Sehemu ya pili inapatikana kwenye uzi ufuatao: Wazo la biashara - Part2: Kigeuze unacho kipenda kuwa bidhaa au huduma (biashara).
  9. G

    Wazo la biashara (Part 2): Kigeuze unachokipenda kuwa bidhaa au huduma (biashara)

    (Unaweza isoma makala hii na nyingine nyingi za uwekezaji na ujasiriamali kwenye tovuti ifuatayo: Uwekezaji na Ujasiriamali ) ANGALIA UNAPENDA NINI KISHA KIGEUZE KUWA BIDHAA AU HUDUMA. Kuna idadi kubwa ya watu ambao wamepata mawazo ya kuanzisha biashara kupitia njia hii na hatimaye...
  10. G

    Umuhimu wa tovuti/mtandao kwa biashara ndogo

    Alpha79 nimekutumia bei PM.
  11. G

    Wazo la biashara: Changamoto zilizopo katika jamii unayoishi

    (Unaweza isoma makala hii na nyingine nyingi za uwekezaji na ujasiriamali kwenye tovuti ifuatayo: Uwekezaji na Ujasiriamali ) Changamoto walionayo watu wengi sio kuanzisha biashara au kuanzisha kampuni bali ni kuanzisha biashara gani au kampuni gani,kuna watu wanafedha lakini hawajui wafanye...
  12. G

    Umuhimu wa tovuti/mtandao kwa biashara ndogo

    Hi, Samahani mkuu nilikua offline kwa siku kadhaa. Tembelea link ifuatayo ili kuona bei: Pricing | Tanzania Web Consulting ( I hope sio kinyume na terms za kutumia jukwaa hili)
  13. G

    Kongamano la uwekezaji katika kilimo

    Kwa makala nyingi zaidi za uwekezajia embelea tovuti yetu: Uwekezaji Tanzania ( Bofya Hapa) SIKU: Jumanne, May 24 saa 2:30 Asubuhi MAHALI: Julius Nyerere International Convention Centre - JNICC Shabaan Robert St/Garden Avenue, Dar es Salaam, Tanzania KUHUSU: Kusudi la kongamano hili...
  14. G

    Umuhimu wa tovuti/mtandao kwa biashara ndogo

    Poa mkuu. Tuta kuhudumia vyema.
  15. G

    Umuhimu wa tovuti/mtandao kwa biashara ndogo

    Makala hii pia inapatikana kwa kiingereza: Online presence: A critical success factor
Back
Top Bottom