Jaman Tz cjui wanakupeleka wap. Ni longolongo 2 kla kona. Maneno mengiii. Lait kama watz 2ngefunga miaka miwl kutumikia nch ye2, 2ngewazd hata hao super powers. Hz siasa znatuulia nch. Ninaona ni bora atokee dictator 1 mzalendo na mweny akil kulko hz demcrasia za kulaumiana na kupelelezana 2
samahan kwa wale mnaopost kuwa viongoz wengi waislam mara wengi wakristu, tatzo ni nini? katba yetu inasemaje? kiongozi wa serikali anahusika na serikali ndio maana katiba inasisitiza tu kuwa mgombea lazma awe mtanzania haisemi uislam wala ukristu. mimi naona jambo la muhimu ni kupambana kukuza...
hv cku janga lolote kubwa lkitokea dar tanzania itakua wap? tupge vta ongezeko la watu mijin kwa kuwapa uwezo wa kutumia rasilimali walzo nazo kwao, sasa zkipelekwa mijn wao watabak huko pembezon kufanya nn?
uhuru ukzd sana ni kero, dictator itumike kdogo. Sababu ya huo uhuru leo watu wanaitukana srkl, watu wanasambaza chuki et demokrasia, hao waasisi wa demokrasia wenyewe wanatumia dictator wakat mwngne. Srkl lazma ifany jambo juu ya hili. Halafu hzo barabara zetu na stand zmekua nyumba za ibada...
tatzo ni sera yetu ya elimu, huwez ukachukua failures ndo wakafundishe taifa la kesho (tutaangamia), ndo maana elmu ya sasa ni tofaut na zaman. Mi naamin mwalim anatakiwa awe m2 mweny akl kupta wengne ktk darasa analosoma. Alaf ikitumika hiyo system ya FUKAMA anaeumia ni serkl au ni nani? 2nazd...
tena serkali iwapge marufuku wale wanao simamasimama barabaran na kweny v2o vya mabas wakjidai wanahubr, waend kweny maeneo yao ya ibada kwasababu hao ndio wachochez wakuu wa udini TZ
hlw, wanajamii. mada imenigusa hasa kipengele cha kurudisha mal za wanadin. kwa kwel co sahihi bora watafute mbinu nyingine kwasababu gharama za matbabu, elimu zitakua juu, kumbuka ruzuku za serkali ndizo znazo2peleka kweny shule na hospital za kanisa na misikit. ikiondolewa leo watakaoweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.