Dar es Salaam, TANZANIA.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli anatarajiwa kufanya maamuzi magumu kesho Jumatatu, Aprili 8 ya kupeleka ama kutopeleka bungeni ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali za nchi hiyo.
Mapema wiki iliyopita, Aprili 2, Bunge la...
Dodoma, TANZANIA.
Naibu Katibu Mkuu wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, John Mnyika ametaja vifungu vilivyokiukwa na bunge wakati wa kumuadhibu mbunge wa Arusha mjink, Godbless Lema.
Mnyika amevitaja vifungu hivyo vya kanuni za bunge leo Alhamisi, Aprili 4, 2019 wakati akichangia hoja...
Zitto ni mvurugaji, mpenda sifa. Mara nyingi nimekuwa namshangaa kwa maamuzi anayoyafanya bila makubaliano ya chama. Aliwahi kutangaza na hatimaye akachukua fomu ya kugombea uenyekiti wa cdm bila kushauriana na chama chake. Akatangaza atawania urais bila ya kushauriana na wakuu wenzake katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.