Recent content by GBJ

  1. G

    Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

    MSAADA WENU MKUBWA WAKUBWA. NAOMBA PDF ZA LAW OF EVIDENCE ASA KITABU CHA TEXTBOOK ON THE LAW OF EVIDENCE CHA CHIEF JUSTICE M. MONIR.
  2. G

    Julai 2017: Nyongeza za mishahara na kupandishwa vyeo - Kilio cha Watumishi wa Umma

    Tamko rasmi litoke ss Sent using Jamii Forums mobile app
  3. G

    Wanaume, sio vizuri kudhalilisha wanawake waliovaa nguo fupi kwakuwa si mwanamke wako

    Mi nashangaa bana! Bora waanze kuwafanyia ivo bs wanaume wenzao wanaovaa kike mfano.
  4. G

    Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

    Naombeni msaada wenu nami nisogee sogee wakubwa
  5. G

    Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

    Naombeni sana sana mwenye document, kitabu ama chochote kile kielezeacho TANZANIA CONSTITUENT ASSEMBLY.
  6. G

    Jaza ujazwe ya Tigo yaleta kizazaa, Jamaa atishia kuwashtaki

    Jina lao tu nila HOVYO! Na ata promosheni zao ni za OVYO, sema ndo basi tena washaona ndo majina yanayowasaidia kibiashara
  7. G

    Ben Pol: Nilichokilenga kimefanikiwa

    Kuwa uchi tu na kuwa! Mana at a aijafungwa kamaba yake aitoshi kuonyesha katekwa
  8. G

    Ben Pol: Nilichokilenga kimefanikiwa

    Bs iyo editing iliyomngalisha jamaa aijalenga maudhui ya kutekwa
  9. G

    Ben Pol: Nilichokilenga kimefanikiwa

    Kutekwa ndo wanapakwa mafuta????
  10. G

    Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

    Wakuu habari naombeni msaada wa documents,vitabu ama notes zozote za legal method, kwny topic ya statutory construction, case law technique, development of the law of negligence, logic and legal reasoning na topic zngnezo, asa nilizotaja.
  11. G

    Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

    Kaka dragon naomba notes ama document zozote za legal method asa development of the law of negligence
Back
Top Bottom