Lowasa anastahili kuw rais. Pamoja na Celina kombani kumsema vibaya lowasa but lowasa hajachukia. Celina aliwahi kumkashifu lowasa kwa maneno hay: BORA AMEONDOKA ASITUFIE SISI AKAWAFIE CHADEMA
Mchezo mchafu kwani umeibiwa? Kinawauma nn tangu lini fundraising vyombo vya dola vikaingilia kati? Mbona mnahaha sana nyie mafisisim? Tulieni tuwanyonye nyie si mmejazana kila kona kula rushwa?
Mikoa uliyoitaja inasumbuliwa namambo yafuatayo: ujinga, umasikini na uzembe. Kwa hizo zababu ccm imeweza kujifanyia makolon yake kazi yao ni kunywa kahawa na kuombaomba kitu ambacho ccm inawatumia kama mtaji hawa ni Tanga na Dodoma kwa upande wa moro na iringa kwa ss sio makolon ya ccm tena mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.