mdetichia
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 5,292
- 2,172
Mkuu habari yako? Kwanini mlimteua Marhum huyu kugombea nafasi ya ubunge ilhali afya yake haikuwa thabiti?
Mungu amlaze anapostahili!
Poleni watanzania kwani huyu mama alikuwa anaumwa? Ushauri tu kwa serikali wawe wanatutangazia basi wananchi hata wakiugua tuwaweke kwenye maombi sio kututangazia misiba tu maombi ni silaha kwake yeye aaminiye.