Pia tz kuna wakamba wameru nao pia wako pande zote mbili. Kuhusu wachaga kenya hakuna ila wataita wanatabia zakichaga na luga yao nikama kichaga. Wapare nadhani wapokenya pia.
Asante kwaushauri naomba kuuliza zaidi kuhusu hikikitanzi naona kama chaweza kuwa chema zaidi kwasababu hakina vichocheo au lamda kwawezakuwa na shida ambayo mimi siijui kuhusu kitanzi? Nijuze kama unauwelewa nacho plz.
Waungwana wasalaam kwenu ebunaomba kujuzwa hilijambo nisilo lielewa sana kuhusu mpango uzazi. Najua kuna njia nyingi sana ila nahofia madhara kwabaadhi yanjia nyingine mfano za vitanz shindano nk.
Nataman kutumia kalenda nasiku ninazo zishuku nitumie kondom sasa hapa ndipo napatashaka kuhusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.