Hivi hizi habari kumhusu huyu mzungu ni za kweli?

Mzungu kaamua kuyaondoa Meno ya mswahili yaliyokua yakitafuna nyama!

Hiki kisa hata kama sio cha kweli ila kwanini mtu unakua sio muaminifu? kama ulikua na shida si ungemwambia huyo mzungu kuliko kumtesa Mbwa wake? uaminifu ni mtaji mkubwa sana katika maisha,tujaribu kua waaminifu na tuache tamaa zakijinga ambazo ni za muda mfupi tu.
Ni kisa cha kweli kabisa. Sijaleta uongo humu.
 
Anakuja kwako analia shida unampa ajira ya kukuuzia duka au saluni ya kike au ya kiume unashangaa vitu vinaisha hela haionekani

Nadhani tabia ipo damuni,damu ya kiafrika
Anauza vitu vyake vyako vinadoda,Kama ni vinywaji,dawa saloon,chips we unadidimia ye anapaa.
Usikute hata hio kilo 2 za nyama alikuwa anawauzia wachoma mishikaki
 
Yaani nyama kilo mbili daily mbwa? Kweli tembea uone!
Ni hekaya za JF na wewe acha unyumbu wako. Huoni hata huo msosi wa mbwa na namna ya ulishaji umekaa kiafrika-afrika? Kwa mtu anayejua wazungu wenye mbwa wanavyowalisha atajua hii ni hekaya iliyotungwa na mwafrika.
 
Leo ndo nimeelewa maana ya msemo wa wabongo, "bora kuzaliwa mbwa ulaya kuliko binadamu Africa"
Mzungu alisema akimuacha yule mbwa akifika kule atakuwa anafikiria sana mbwa wake anavyopata tabu huku, aliondoka akamuacha kwa rafiki yake baadae akaja kumsafirisha kwa ndege ya mizigo zaidi ya mwezi mmoja.
 
Alidhani anapewa zawadi baada ya kula nyama ya mbwa na kumsababisha madhara😂😂😂😂😂🤣🤣🤸‍♂️🤸‍♂️, akome.
 
Utakulaje chakula cha mbwa wakati posho unapewa huyo mzungu ana akili sana next time huyo mfanyakazi wake hatakula nyama ya mbwa maana hana jino hata moja
Tatizo uroho, hawa wahudumu wa mbwa wengi Wana hiyo tabia na adhabu wanayokutana nayo mara nyingi huwa ni Siri yao, mmoja alifukuzwa kazi baada kuwa anabeba makopo ya chakula cha mbwa anakwenda Kula yeye
 
"Mzungu alikasirika sana"
Ulimuona huyo mzungu?
Tulioishi na kufanya kazi na hawa watu hupati shida kujua kachukia au kufurahi Kwa hiyo unajua uishi naye vipi katika hali hiyo, sasa yeye kamuudhi halafu bado anakuwa naye karibu na anakula anachopewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom