Recent content by Gaston Mbilinyi

  1. Gaston Mbilinyi

    HISTORIA YAKE YA KUBAKWA,,,, NATAKA,,NIMUACHE,nipeni ushauri,

    Atamwongezea "past" ya siku za baadae iwapo atambwaga! Nafikiri kubakwa hakujambadili kuwa msichana. Labda kama walimwambukiza nanii.
  2. Gaston Mbilinyi

    JK kuhutubia taifa kesho usiku

    Ndio maana nimeomba tungoje tusikie.... Nina hotuba yake moja ndiyo iliyonishawishi kusema hayo. Na tungoje
  3. Gaston Mbilinyi

    JK kuhutubia taifa kesho usiku

    Hotuba yake itajaa story za safari zake na namna Tanzania ilivyoahidiwa misaada na wajomba zetu huko ughaibuni huku akiwabeza wapinzani kuwa "halafu wanasema hatufanyi kazi!" Ngoja tumsikie....
  4. Gaston Mbilinyi

    Yaliyojiri: Mkutano wa vyama vya CHADEMA, CUF, NCCR Mageuzi juu ya Katiba Mpya - Sept 21, 2013

    Nashukuru kwa taarifa hii kwani nami sasa nami napata matangazo kupitia radio one. Asante
  5. Gaston Mbilinyi

    Ujumbe wa Masogange aliouandika ukurasa wa twitter

    Hahahaha! Ina maana mpaka sasa Mkuu hujui kuwa kuna miungu wengi ila wa KWELI ni mmoja? Hao ni Mungu wao na si wa KWELI.
  6. Gaston Mbilinyi

    Hatimaye mnara wa kumbukumbu ya Mwangosi wajengwa

    Ulale mahali pema Ndg yetu Daudi Mwangosi. Tunaojua ulivyodhurumiwa,daima tutakukumbuka kwa namna yoyote kama wengine walivyojenga mnara kushuhudisha dhuruma dhidi yako, familia yako na ndugu zako!
  7. Gaston Mbilinyi

    Wadau naomba mnisaidie,ni wapi naweza pata soko la zebaki(MERCURY)

    Tunanunua na kuuza TINDIKALI. Zebaki, hapana!
  8. Gaston Mbilinyi

    Utapeli wa mwaka....

    Tanzania inakua, tutafika tu......
  9. Gaston Mbilinyi

    Waziri Muhongo aiponda ripoti ya Human Rights Watch kuhusu unyanyasaji kwenye migodi

    he! Umeshasahau kuwa "mgema akisifiwa, tembo hulitia maji?" Prof. Mhongo ni mzuri, ila mfumo wa serikali yetu ni hovyo mno, umemchafua Prof. wa watu kuwa Mwongo!
  10. Gaston Mbilinyi

    Kumbe biashara ya madawa ya kulevya ni official business in tz

    Mkuu, utajidhalilisha kama unabisha kuwa Lukuvi ndivyo alivyosema! Nakushauri ondoa post yako kulinda heshima yako.
  11. Gaston Mbilinyi

    Viongozi wakuu roman catholic mnalijua hili ?

    Duh! Ni muhimu tusome vizuri neno la Mungu (Biblia), na kanisa sio jengo bali ni mkusanyiko wa waamini ambapo hata Yesu alijumuika katika mikusanyiko hiyo. Lakini pia hekaluni (mjengoni = kanisani) alikuwa akienda, ila mahekalu hayo yalikuwapo hata kabla yeye hajaja.
  12. Gaston Mbilinyi

    Dawa za kurefusha na kunenepesha uume na njia mbadala

    Kwa msaada wa Mungu, aendelee kumtafuta wa kwake ambaye naye ana kitu cha 2.8 inches. Mungu ni mwaminifu, haiwezekani aumbe inchi 2.8 za mmoja bila wa kufanana naye.
  13. Gaston Mbilinyi

    Madiwani CCM kutua CHADEMA ;MBOWE AWAKARIBISHA, AWAPA MBINU

    Kukaribishwa ni sawa lakini ni muhimu kuwaangalia vizuri wengine ni tindikali watu kwa chama.
  14. Gaston Mbilinyi

    Majambazi yapora na kuua ndani ya daladala

    Mkuu, asante kwa kunisaidia kumwuliza swali mleta mada. Alijuaje fedha aliyokuwa nayo mtu? Labda uzi umeletwa pungufu, vinginevyo ni mmoja wao.
  15. Gaston Mbilinyi

    Nani anafaa kutuwakilisha wanaCCM kwenye midahalo?

    Hahahahaha! Ningekuwa Mangula, ningejiuzuru mara baada ya kipindi hicho! Nafikiri ni mzee, tumwache apumzike kwa amani tuliyo nayo.
Back
Top Bottom