Recent content by gaspersoftware65

  1. gaspersoftware65

    JamiiForums Tanzania Wachimbaji Visima katika Mikoa yote

    Naam
  2. gaspersoftware65

    JamiiForums Tanzania Wachimbaji Visima katika Mikoa yote

    1.Hivi mud rotary kwa mkoani aiwezekani 2. Mkoa kama iringa mud rotary
  3. gaspersoftware65

    JamiiForums Tanzania Pajue Iringa kwa kupitia picha

    Vipi ndani ndani uko kijijini kama njia ya kiponzero
  4. gaspersoftware65

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema, hospitali zote hizi nchini lakini unaenda Kenya ukaangaliwe bega, una hofu gani?

    Mzee kwani unapangiwa sehemu ya kupewa huduma, pesa yako maamuzi yako.
  5. gaspersoftware65

    JamiiForums Tanzania Anayefahamu kijijini wanakouzwa mashamba Kati ya laki 2 Hadi 5 anijuze popote Tanzania

    Mkuu hii imekaaje kwa mashamba wanayosema hati za selikari za mtaa pia eka zaidi ya 50.
  6. gaspersoftware65

    JamiiForums Tanzania Ni utapeli au napoteza bahati?

    Kaka leo amna ile text, ngoja waje wakupe muongozo.
  7. gaspersoftware65

    JamiiForums Tanzania Kuku wangu wa mayai wamegoma kutaga wanaelekea week ya 19

    Umetupa mwanga na wengine, tunaotamani kufanya ufugaji huu. Asante mkuu.
  8. gaspersoftware65

    JamiiForums Tanzania Je, LBL sio Matapeli kama Matapeli wengine?

    Mnaenda kupigwa shitukeni watu walishapigwa uko kitambo, ni mtu anaandaa system yake na pesa zake kama million 4-7 inakuwa mtaji. Alafu mnaaminishwa kwa kutoa faida kwa level fulani, ikifikia mda watakuja na ofa kuwa level fulani kama unatakiwa kuingia na kiasi fulani basi leo ni offer utakiwi...
  9. gaspersoftware65

    JamiiForums Tanzania Utata wa mpaka wa ziwa Nyasa: Google map wako sahihi kwa 100%, serikali ya Tanzania msipotoshe na kutisha watu

    Umejaribu kuangalia hapo kuna chini huo muongozo wa rangi na umiliki wa mataifa kwa wakati huo kuna wareno,waingereza,wajerumani wamegawanyika kwa rangi zao na mipaka yote imepita pwani ya ziwa, sijaona hata Malawi ikiwa imezidi rangi na kwenda pwani ya tanzania.
  10. gaspersoftware65

    JamiiForums Tanzania Utata wa mpaka wa ziwa Nyasa: Google map wako sahihi kwa 100%, serikali ya Tanzania msipotoshe na kutisha watu

    Mkuu kwa maana hiyo hata ziwa tanganyika hatuna haki ya kumiliki ziwa lile kwa ramani ulioituma huru. Na amna mtu ambae anamiliki, ziwa kwa ramani hiyo uliotuma sio ziwa nyasa wala tanyanyika.
  11. gaspersoftware65

    JamiiForums Tanzania Utata wa mpaka wa ziwa Nyasa: Google map wako sahihi kwa 100%, serikali ya Tanzania msipotoshe na kutisha watu

    M Mkuu hebu angalia ramani tena amna anaemiliki ziwa tanyanyika wala nyasa maziwa yote mipaka imepita nje ya ziwa, kwa swala hilo mipaka yote ipo katikati
Back
Top Bottom