nimefuatilia huu mjadala, nimeelewa kama ifuatavyo: wanaotetea walimu wawe na moyo wa wito ni wanawake km id zao zinavyoonesha sbb wao hawabebi majukumu ya kifamilia kwa 100% sbb mume yupo hivyo kale kamshahara kake kaambiwa atumie kwenye cosmetics na viwalo vyake vya kujia kazini(shuleni),mfano...
inaonekana huyo jamaa yako alikuwa na ndoto ya kuja kuwa lecturer ktk maisha yake, hivyo alipopata udom ndipo ndoto yake imetimia, hakubabaika na mkwanja wa BOT. Si kingine zaid ya hicho!!
Hilo basi linaitwa FM SAFARI, linalofanya safari zake from DAR to MBEYA, kifupi ni kwamba hili ni pigo la pili kwa route hiyo baada ya MAJINJAH EXPRESS, na mwenye kampuni hii nahisi ndiyo kwanza anaanza biashara maana kampuni hii sidhani kama mwaka kamaliza tangu aanze biashara hii.
mkuu felix umesema hapo awali kwamba katika biashara hii usipokuwa makini unaweza kuteketeza familia yako, kivipi? Halafu naomba kujua ni kiasi gani cha pesa angalau unatakiwa kuwa nacho kama mtaji, hii ina maana pesa ya kununua mzigo na nauli zote mpaka thailand?
huna lolote wewe, watu wenye kazi zao wako busy na kazi si kufuatilia maisha ya watu na kuwa na majungu, fitina na wivu kama wewe, we endelea kupigika kitaa tu na vyeti vyako mpaka viliwe na mchwa lakini ajira hakuna, labda ajira utakayoipata ni ya ushoga tu!!
kwa kuwa wewe upo kitaa bila ya ajira, wivu umekujaa kwa walimu wanaojilia mishahara yao kiulaini!! utaishia hivyohivyo kusugua benchi kitaa nyau wewe!!!
usijipe moyo ww! m2 mwenye gpa kubwa c mwenzako, sababu yeye ana fulsa kubwa ktk kupata vitu vinavyohusiana na elimu, kwa mfano mbali na ajira ana nafasi kubwa kujiendeleza kielimu ndani na nje ya nchi, mfano angalia scholarship zinazotolewa wanataka nn?
we mbwisi onaonekana kiroho kinakuuma wenzako kupata ajira eeh! sasa we endelea kupigika kitaani halafu baadae nije nikuoe kwa sbb nitakuwa nina uwezo wa kukuhudumia ww na familia yako hata km me!
kaka achana nae huyo bado ana ulimbukeni wa first year, akifika semister ya 4 second year ataheshimu wakubwa zake baada ya kupata supp za kutokosha na hapo ndipo atajitambua!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.